Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo wazo lipo..na litaanza hivi karibuni baada ya Hajji kumaliza adhabuYah sio Kila pesa GSM azame mfukoni pale ni unakabidhi vijana watatu na risiti basi wawe wachangamfu hapa dar pekee hukosi watu 200000
Hope watafanyia kazi huku mtaani Kuna mashabiki rundo huwa tunajaa vibanda umiza imagine Jana tumeangalia madridi kwa 1000 per head ikija kombe hadi wale wa mnyama watataka kupiga picha ni utakusanya hela balaaHii ni bonge la idea mkuu
Kaka uki draft hii kitu kama ni mtaalamu wa uandishi wanakulipa ,haya ni madini umeyamwaga wao tuu kuokotaEndapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Wasipofanya hadi season inaanza nitaenda ofisini kwao na kuwapa idea kuwa Kila mechi itakapochezwa msimu ujao makombe yawe nje ya uwanja kwa ajili ya chanzo kingine Cha mapato so team mwenyeji anapata mapato ya ndani yanga tunachukua ya njeKaka uki draft hii kitu kama ni mtaalamu wa uandishi wanakulipa ,haya ni madini umeyamwaga wao tuu kuokota
Ila wewe umeliweka vzr sana maana licha ya kuingiza mapato lkn pia litashawawishi usajiri wa wanachamaOk basi itakuwa vizuri kuendesha hizi team ni gharama sana wajitahidi kupata hela kutoka kwa mashabiki wadhamini hufika mda wakachoka
Kwa hiyo tuje kujifunza kwenu?🤣🤣🤣🤣🤣🙏Nyie safari yenu bado ndefu sana tena sana kwa Sasa anzeni kuzoea hiyo nafasi ya 3 kwa Sasa vita ya ubingwa itakuwa ya Yanga na Azam na next season bingwa ni ambae hatapoteza mechi hata Moja
Msimu ujao Azam atasumbua sana maana ni kama amejipata lazima team iwe financial stable ni tusipoteze mechi hata Moja huku tukipata draw Moja tu ili kuwa mabingwaIla wewe umeliweka vzr sana maana licha ya kuingiza mapato lkn pia litashawawishi usajiri wa wanachama
SikupingiMsimu ujao Azam atasumbua sana maana ni kama amejipata lazima team iwe financial stable ni tusipoteze mechi hata Moja huku tukipata draw Moja tu ili kuwa mabingwa
Eti TP Mazembe wanakuja kujifunza kwa VYURA?🤣🤣🤣Na mkichelewe tukaanza pre season hatuwafundishi ili muendelee kumshabikia fei toto😂😂😂si ndio kombe lenu
Kama mnaona aibu kujifunza, ndo basi tena..... mshakuwa TP Mazembe kumbe!Eti TP Mazembe wanakuja kujifunza kwa VYURA?🤣🤣🤣
Elimu Haina mwisho na mambo mapya hutokea Kila sikuEti TP Mazembe wanakuja kujifunza kwa VYURA?🤣🤣🤣
Wazo zuri wapige na gharama za hiyo timu itakayo zunguka swali je hiyo milioni 600 km itapatikana itatosha kulipa mishahara ya miezi mingapi ya wachezaji na management team ?Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho