Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Kaka uki draft hii kitu kama ni mtaalamu wa uandishi wanakulipa ,haya ni madini umeyamwaga wao tuu kuokota
 
Kaka uki draft hii kitu kama ni mtaalamu wa uandishi wanakulipa ,haya ni madini umeyamwaga wao tuu kuokota
Wasipofanya hadi season inaanza nitaenda ofisini kwao na kuwapa idea kuwa Kila mechi itakapochezwa msimu ujao makombe yawe nje ya uwanja kwa ajili ya chanzo kingine Cha mapato so team mwenyeji anapata mapato ya ndani yanga tunachukua ya nje
 
Wazo zuri sana mkuu,
Wawachukue na wachezaji kama 4 walisindikize.
Yanga inapendwa mkoani.
Assume basi la Yanga lifike Ngara nyumbani na kombe watapiga hela hadi wakimbie,
Umewapa wazo wajaribu kuliboresha na kulifanyia kaI
 
Eti TP Mazembe wanakuja kujifunza kwa VYURA?🤣🤣🤣
Elimu Haina mwisho na mambo mapya hutokea Kila siku
Nyie hamtaki kujifunza ndio maana hadi Sasa hamjui shida ni Nini!?
1.Mwekezaji analaumiwa
2.viongizi wanalaumiwa
3.Wachezaji wanalaumiwa
4.Makocha wanafukuzwa na kuondoka daily
5.Marefa wanalaumiwa
6.Yanga inalaumiwa
7.dereva wa basi analaumiwa eti anaendesha kwa Kasi😂😂😂😂
Msolve lipi hamjui njooni shule hamtaki
 
Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Wazo zuri wapige na gharama za hiyo timu itakayo zunguka swali je hiyo milioni 600 km itapatikana itatosha kulipa mishahara ya miezi mingapi ya wachezaji na management team ?
 
Back
Top Bottom