Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Yanga inaweza kutengeneza milioni 600 kwa mwezi wa 6 na 7

Na huo ndo ukweli, pre season bongo zinafanyika so shallow and partial. Nikiwa Marekani mwaka juzi, Chelsea ya kina Sterling visited na kulikuwa na organized tournament ya pre season pale Orlando. They were making a lot of money by playing tu yale mashindano ya pre season na team za Marekani, meanwhile wao wakiwa wanaendelea na pre season yao as scheduled. Bongo tunashindwa sana kuvuna pesa nyingi zaidi kupitia fan engagement.
Naamini viongozi watajua namna nzuri ya kutengeneza pesa kutoka kwa mashabiki wadhamini hufika mahali wakachoka
 
Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Kweli inawezekana na huenda wakapata zaidi. Hilo wazo wanaweza kulifanyia kazi.
 
Endapo yanga watachagua team nzuri ya watu wakazungusha haya makombe mawili NBC na Crdb kuanzia dar hadi kigoma na Rukwa na kutoa offer ya Kila shabiki kupiga picha na kombe kwa sh.2000=1000 KILA kombe basi hakitakosa watu 300000 watakaotaka kupiga picha na makombe hayo kwa kiasi hicho
Tuna kombe moja so far, isije ikawa uchuro.
 
Kama nimeona kwa Millardayo kitu kama hiki..
Binafsi sijaona popote basi ni wazo TU limenijia baada ya kuona Jana Madrid watu wamejaza uwanja kuangalia big screen na kuingizia team mapato
 
Back
Top Bottom