Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Rage alivowaita mbumbumbu hukumwelewa?Elimu Haina mwisho na mambo mapya hutokea Kila siku
Nyie hamtaki kujifunza ndio maana hadi Sasa hamjui shida ni Nini!?
1.Mwekezaji analaumiwa
2.viongizi wanalaumiwa
3.Wachezaji wanalaumiwa
4.Makocha wanafukuzwa na kuondoka daily
5.Marefa wanalaumiwa
6.Yanga inalaumiwa
7.dereva wa basi analaumiwa eti anaendesha kwa Kasi😂😂😂😂
Msolve lipi hamjui njooni shule hamtaki
Kama ni hivyo,vitabu vije vijifunze kwa wajingawajinga.Elimu Haina mwisho na mambo mapya hutokea Kila siku
Nyie hamtaki kujifunza ndio maana hadi Sasa hamjui shida ni Nini!?
1.Mwekezaji analaumiwa
2.viongizi wanalaumiwa
3.Wachezaji wanalaumiwa
4.Makocha wanafukuzwa na kuondoka daily
5.Marefa wanalaumiwa
6.Yanga inalaumiwa
7.dereva wa basi analaumiwa eti anaendesha kwa Kasi😂😂😂😂
Msolve lipi hamjui njooni shule hamtaki
Hata muwekezaji mwenyewe ana lalamika kwanini Simba SC iko nafasi ya 3 NBC prlg maana Hela zake Huwa zinarudi kwenye michuano ya club bingwa AfricaElimu Haina mwisho na mambo mapya hutokea Kila siku
Nyie hamtaki kujifunza ndio maana hadi Sasa hamjui shida ni Nini!?
1.Mwekezaji analaumiwa
2.viongizi wanalaumiwa
3.Wachezaji wanalaumiwa
4.Makocha wanafukuzwa na kuondoka daily
5.Marefa wanalaumiwa
6.Yanga inalaumiwa
7.dereva wa basi analaumiwa eti anaendesha kwa Kasi😂😂😂😂
Msolve lipi hamjui njooni shule hamtaki
Gharama za team itakayozunguka hapo Haina shida kwenye Kila utakapoenda unatafuta hotel inadhamini tourWazo zuri wapige na gharama za hiyo timu itakayo zunguka swali je hiyo milioni 600 km itapatikana itatosha kulipa mishahara ya miezi mingapi ya wachezaji na management team ?
Kafanya nini tena?Guede jamani..!
Ulivyoandika kirahisi utadhani mwanamazingaombwe.Gharama za team itakayozunguka hapo Haina shida kwenye Kila utakapoenda unatafuta hotel inadhamini tour
Unatafuta basi au ndege inadhamini safari kule mikoani na wilayani Kuna wanazi wanakupa pa kulala kula kunywa na Kila kitu na hawajali wale kina lawena msonda makongorosi chunya anaweza hata piga picha milioni,kule Geita ndio kabisa 🙌🙌🙌
Walichukue wazo hili ni zuriGharama za team itakayozunguka hapo Haina shida kwenye Kila utakapoenda unatafuta hotel inadhamini tour
Unatafuta basi au ndege inadhamini safari kule mikoani na wilayani Kuna wanazi wanakupa pa kulala kula kunywa na Kila kitu na hawajali wale kina lawena msonda makongorosi chunya anaweza hata piga picha milioni,kule Geita ndio kabisa 🙌🙌🙌
Inaweza isilipe wachezaji lakini ikalipa wafanyakazi wengine kimsingi inakuwa ni chanzo kingine cha mapatoWazo zuri wapige na gharama za hiyo timu itakayo zunguka swali je hiyo milioni 600 km itapatikana itatosha kulipa mishahara ya miezi mingapi ya wachezaji na management team ?
Usafiri na ulinzi pia malazi hapo wanatafuta wadhamini watakaosimamia hiyo tourYanga haiwezi kuuwa emotional connection kati ya timu na wanachama au shabiki wao kwa kutoza fedha kupiga picha na kombe.
Hiyo fedha ni ndogo sana ukiweka gharama za usafiri na ulinzi kwenye hiyo tour.
Bora watafute fedha kwa wadhamini watakao lipia safari, branding, na kuandaa platforms lakini waweke mabango yao, banners na stickers kwenye hizo event kisha timu wauze jezi na bidhaa zingine za timu.
Still good idea umetoa, kudos.
Wenzako ndio tayari washakula pindi. Mmebaki nyieEti TP Mazembe wanakuja kujifunza kwa VYURA?🤣🤣🤣
Hakuna sub? Wakicheza wamecheza sioWazo jingine ili
WAZAWA
1.Mshery
2.Kibwana
3.Kibabage
4.Job
5.Bacca
6.Mkude
7.Farid
8.Sure Boy
9.Mzize
10.Mudathir
11.Shekhan
WAGENI
1.Diarra
2.Yao
3.Lomalisa
4.Gift
5. Apa sijui akae nani wampe ata CAPITANO
6.Aucho
7.Max
8.Paccome
9.Guede
10.Aziz Ki
11.Musonda
Uwanja estadio Benjamin Mkapa
Kiingilio- 5000
UNAONAJE ILI WAZO MDAU?
Hii iwe yanga family day iwekwe pale Azam kwanza inaleta furaha hata kwa kusoma just for fun 🙌🙌🙌😂before siku ya mwananchiWazo jingine ili
WAZAWA
1.Mshery
2.Kibwana
3.Kibabage
4.Job
5.Bacca
6.Mkude
7.Farid
8.Sure Boy
9.Mzize
10.Mudathir
11.Shekhan
WAGENI
1.Diarra
2.Yao
3.Lomalisa
4.Gift
5. Apa sijui akae nani wampe ata CAPITANO
6.Aucho
7.Max
8.Paccome
9.Guede
10.Aziz Ki
11.Musonda
Uwanja estadio Benjamin Mkapa
Kiingilio- 5000
UNAONAJE ILI WAZO MDAU?
Au inaweza kuwa nje ya dar ili kusambaza upendo (yanga tour)Wazo jingine ili
WAZAWA
1.Mshery
2.Kibwana
3.Kibabage
4.Job
5.Bacca
6.Mkude
7.Farid
8.Sure Boy
9.Mzize
10.Mudathir
11.Shekhan
WAGENI
1.Diarra
2.Yao
3.Lomalisa
4.Gift
5. Apa sijui akae nani wampe ata CAPITANO
6.Aucho
7.Max
8.Paccome
9.Guede
10.Aziz Ki
11.Musonda
Uwanja estadio Benjamin Mkapa
Kiingilio- 5000
UNAONAJE ILI WAZO MDAU?