Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kelele za Yanga jamani. Mwaka huu shirikisho ni vituko tu. Marumo Gallants South Afrika wanashika mkia lakini wameongoza kundi lao shirikisho. Tukisema shirikisho hakuna Timu Bora mwaka huu mtuelewe jamani.

Kati ya mechi 23 alizocheza kwenye ligi kashinda mechi 3tu. Na bado mechi 7.

Wakati shirikisho kati ya mechi 6 kashinda 4. Kashinda mechi nyingi shirikisho kwenye mechi 6 kuliko kwao alipocheza mechi 23. Haya ndio maajabu ya shirikisho mwaka huu.

Screenshot_20230403-072932.png
 
Mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima akubali kuwa team babe Africa zote ziko CAFCL.

Mamelod Sundowns, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Al Ahly, Es de Tunis, Simba Sc, As Kablye , CR Belouzdad.

Hayo mateam huwezi kuyafananisha na team zilizoko huko Shirikisho, labda uwe kichaa kama jinsi walivyo mashabiki wengi wa Yanga.


Lakini pia team zilizoko shirikisho msimu huu nyingi ni magarasa tofauti na ule msimu ambao Simba Sc alikuwa akishiriki, fikiria msimu huu mpaka Rivers Utd, ASEC Mimosas, Marumo Gallants na team nyinginezo mbovu zimepita robo fainali, kisha urudi kuangalia quater finalist wa msimu ule.


Yanga kujaribu kuweka usawa kati ya mashindano anayoshiriki Simba Sc na yale wanayoshiriki wao ni UKICHAA.
 
Kelele za Yanga jamani. Mwaka huu shirikisho ni vituko tu. Marumo Gallants South Afrika wanashika mkia lakini wameongoza kundi lao shirikisho. Tukisema shirikisho hakuna Timu Bora mwaka huu mtuelewe jamani.

Kati ya mechi 23 alizocheza kwenye ligi kashinda mechi 3tu. Na bado mechi 7.

Wakati shirikisho kati ya mechi 6 kashinda 4. Kashinda mechi nyingi shirikisho kwenye mechi 6 kuliko kwao alipocheza mechi 23. Haya ndio maajabu ya shirikisho mwaka huu.

View attachment 2575924
Kwani sifa ya kwenda Shirikisho waliipata kwa kushuka daraja?
Mbona kuna timu ipo Champions league lakini imesahau ni lini ilikua mabingwa na wala hawatarajii kuchukua ubi gwa nchini mwao mwaka huu lakini mashabiki wa Yanga hawaifungulii thread?
 
Back
Top Bottom