Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

We bwege kweli, Chelsea kafuzu UEFA kwaiyo tim ni zaifu au?
 
We bwege kweli, Chelsea kafuzu UEFA kwaiyo tim ni zaifu au?
Kwani Chelsea anashika mkia au kushuka daraja Kaka. Time imeshinda mechi 3 tu Kati ya 23 inaongoza kundi shirikisho. Inafikirisha sana
 
Ww ni mgeni sasa ktk football.. tuanzie hapahapa CAF, huko mnaposema ni kwa mabingwa,club ya kablyie kutoka Algeria msimu huu ni ya pili kutoka mwsho ktk ligi yao lkn wamefuzu robo final champion ligue mbele ya petro de Luanda na vita club.

Je huko club bingwa mnapojidai pia ni kwa walioshindwa? Mbona kablyie ni ya pili kutoka mwisho kwenye ligi na wameshika nafasi ya pili kwenye kundi lao lenye wydad,vita club na petro de Luanda.

Haya Chelsea ni ya 11 ktk msimamo wa EPL lkn wameingia robo final wanacheza na Madrid, je UEFA ni kombe la walioshindwa? Maana hii Chelsea mbovu imefika mpaka robo.

Msimu ule Chelsea anabeba uefa walikua na msimu mbovu EPL na walikua nje ya Top 4 ktk msimamo lkn wakaenda kubeba UEFA.

Mwisho niseme ww ni mjinga [emoji706]
 
Mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima akubali kuwa team babe Africa zote ziko CAFCL.

Mamelod Sundowns, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Al Ahly, Es de Tunis, Simba Sc, As Kablye , CR Belouzdad.

Hayo mateam huwezi kuyafananisha na team zilizoko huko Shirikisho, labda uwe kichaa kama jinsi walivyo mashabiki wengi wa Yanga.


Lakini pia team zilizoko shirikisho msimu huu nyingi ni magarasa tofauti na ule msimu ambao Simba Sc alikuwa akishiriki, fikiria msimu huu mpaka Rivers Utd, ASEC Mimosas, Marumo Gallants na team nyinginezo mbovu zimepita robo fainali, kisha urudi kuangalia quater finalist wa msimu ule.


Yanga kujaribu kuweka usawa kati ya mashindano anayoshiriki Simba Sc na yale wanayoshiriki wao ni UKICHAA.
Hiyo kablyie kutoka Algeria mbona ni ya pili kutoka mwisho kwenye ligi yao na imepenya robo huko club bingwa mbona haushangai?

Tunaposema nyinyi ni mbumbumbu tunamaanisha
 
Hilo linaitwa kombe la loser hakuna timu kubwa iliyokuwa vizuri utakayoona inacheza huko ukiona ww upo huko ujue ww upo katika kombe dogo yaan loser kombe kubwa linaitwa CAF champion huko utakutana na mabingwa wa kila nchi na mshindi wa pili huwezi kuta mshindi wa tatu that why champions league inakuwa ngumu kwakuwa kuna mabingwa lakin huko kwa loser mtu anashuka daraja eti anaongoza kundi tukisema hilo ni kombe la loser muwe mnaelewa fisi maji nyie[emoji16][emoji16][emoji16]
Kablyie ni ya pili kutoka mwisho ligi ya Algeria lkn wapo huko club bingwa unapojida!! Ww ni mpumbavu
 
Kwani Chelsea anashika mkia au kushuka daraja Kaka. Time imeshinda mechi 3 tu Kati ya 23 inaongoza kundi shirikisho. Inafikirisha sana
@William Mshumbusi kabilyie yupo club bingwa huko mlipo na yupo mkiani kwenye ligi ya kwao kashinda mechi 3 tu kati ya 17 alizocheza. Tukisema ninyi ni mbumbumbu tunamaanisha
 
Hilo linaitwa kombe la loser hakuna timu kubwa iliyokuwa vizuri utakayoona inacheza huko ukiona ww upo huko ujue ww upo katika kombe dogo yaan loser kombe kubwa linaitwa CAF champion huko utakutana na mabingwa wa kila nchi na mshindi wa pili huwezi kuta mshindi wa tatu that why champions league inakuwa ngumu kwakuwa kuna mabingwa lakin huko kwa loser mtu anashuka daraja eti anaongoza kundi tukisema hilo ni kombe la loser muwe mnaelewa fisi maji nyie😁😁😁
Vipi tuendelee na mada? Au tuyaache? 😄
 
Kelele za Yanga jamani. Mwaka huu shirikisho ni vituko tu. Marumo Gallants South Afrika wanashika mkia lakini wameongoza kundi lao shirikisho. Tukisema shirikisho hakuna Timu Bora mwaka huu mtuelewe jamani.

Kati ya mechi 23 alizocheza kwenye ligi kashinda mechi 3tu. Na bado mechi 7.

Wakati shirikisho kati ya mechi 6 kashinda 4. Kashinda mechi nyingi shirikisho kwenye mechi 6 kuliko kwao alipocheza mechi 23. Haya ndio maajabu ya shirikisho mwaka huu.

View attachment 2575924
Mikia FC njooni sasa.
 
Back
Top Bottom