Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

Yanga mnapata wapi kiburi cha kujisifu Shirikisho? Kuna timu inashuka daraja kwao lakini imeongoza kundi Shirikisho

Mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima akubali kuwa team babe Africa zote ziko CAFCL.

Mamelod Sundowns, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Al Ahly, Es de Tunis, Simba Sc, As Kablye , CR Belouzdad.

Hayo mateam huwezi kuyafananisha na team zilizoko huko Shirikisho, labda uwe kichaa kama jinsi walivyo mashabiki wengi wa Yanga.


Lakini pia team zilizoko shirikisho msimu huu nyingi ni magarasa tofauti na ule msimu ambao Simba Sc alikuwa akishiriki, fikiria msimu huu mpaka Rivers Utd, ASEC Mimosas, Marumo Gallants na team nyinginezo mbovu zimepita robo fainali, kisha urudi kuangalia quater finalist wa msimu ule.


Yanga kujaribu kuweka usawa kati ya mashindano anayoshiriki Simba Sc na yale wanayoshiriki wao ni UKICHAA.
Huko Kwa wababe una kombe lolote!?
 
Team ya kufungwa mechi tano kati ya sita wewe unaionaje?

Mnapiga kelele kuifunga nje ndani wakati ilikuwa mboga ya kundi zima, Simba Sc amewahi kuigunga As Vita (iliyokuwa na hao wachezaji mnaotamba nao sasa) ila hakupiga kelele hivyo.
Wewe unayejiona mwamba tangu club yenu ianzishwe umemfunga Yanga mara ngapi na yeye amekufunga mara ngapi?

Mnatuzidi nini cha maana kama sio ushirikina tu.
 
Mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima akubali kuwa team babe Africa zote ziko CAFCL.

Mamelod Sundowns, Raja Casablanca, Wydad Casablanca, Al Ahly, Es de Tunis, Simba Sc, As Kablye , CR Belouzdad.

Hayo mateam huwezi kuyafananisha na team zilizoko huko Shirikisho, labda uwe kichaa kama jinsi walivyo mashabiki wengi wa Yanga.


Lakini pia team zilizoko shirikisho msimu huu nyingi ni magarasa tofauti na ule msimu ambao Simba Sc alikuwa akishiriki, fikiria msimu huu mpaka Rivers Utd, ASEC Mimosas, Marumo Gallants na team nyinginezo mbovu zimepita robo fainali, kisha urudi kuangalia quater finalist wa msimu ule.


Yanga kujaribu kuweka usawa kati ya mashindano anayoshiriki Simba Sc na yale wanayoshiriki wao ni UKICHAA.
Hawawezi kukuelewa, labda awe kikwete na manara Sr.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unayejiona mwamba tangu club yenu ianzishwe umemfunga Yanga mara ngapi na yeye amekufunga mara ngapi?

Mnatuzidi nini cha maana kama sio ushirikina tu.
Wewe uliyeifunga Simba Sc mara nyingi na kuchukua ligi kuu mara nyingi (mara 28), maana yake ni kwamba ulipata nafasi nyingi za kushiriki michuano ya kumatafa kuliko Simba Sc, hizo mara 28 ulifanya nini cha maana huko, uliinufaishaje ligi yetu kwa wakati wote huo?

Simba Sc licha ya kuingia huko mara chache kuliko Yanga, imefanikiwa kutetea uwezo wa ligi yetu kupeleka team nne, imeingia mara nyingi zaidi robo fainali ndani ya hii misimu minne kiasi kwamba imekuwa granted kushiki Super Cup, imepanda ranks za vilabu bora Africa..nk.


Tukiachana na kuchukua kombe huko CAFCL&CAFCC, nipe umuhimu wowote tuliouona juu ya Yanga kushiriki huko mara nyingi alizoenda kuliko Simba Sc.


Sio mnapiga kelele kuifunga Mazembe ambayo ilikuwa ni nyama ya group zima kujichumia points.
 
Kwenye ligi kuu ya Algeria JS KABYLIE anashika nafasi ya 15 kati ya timu 16 akiwa na ameshinda michezo 3 sare 2 kati ya michezo 17 akiwa na pointi 14.

Kwenye Ligi ya Mabingwa ametoboa mpaka robo fainali akiwa amewafunga Wydad Casablanca, Petro Luanda na As Vita.kamaliza wapili
20230404_115136.jpg
 
Kelele za Yanga jamani. Mwaka huu shirikisho ni vituko tu. Marumo Gallants South Afrika wanashika mkia lakini wameongoza kundi lao shirikisho. Tukisema shirikisho hakuna Timu Bora mwaka huu mtuelewe jamani.

Kati ya mechi 23 alizocheza kwenye ligi kashinda mechi 3tu. Na bado mechi 7.

Wakati shirikisho kati ya mechi 6 kashinda 4. Kashinda mechi nyingi shirikisho kwenye mechi 6 kuliko kwao alipocheza mechi 23. Haya ndio maajabu ya shirikisho mwaka huu.

View attachment 2575924
Mpira ni numbers,wakichukua shirikisho hao wajukuu wa Mandela nadhani faida ni kubwa zaidi kuliko ambavyo wangekuwa wa 6 huko kwao na kukosa ubingwa wa shirikisho.
Nadhani wana malengo ya ubingwa kabisa.
 
Wewe uliyeifunga Simba Sc mara nyingi na kuchukua ligi kuu mara nyingi (mara 28), maana yake ni kwamba ulipata nafasi nyingi za kushiriki michuano ya kumatafa kuliko Simba Sc, hizo mara 28 ulifanya nini cha maana huko, uliinufaishaje ligi yetu kwa wakati wote huo?

Simba Sc licha ya kuingia huko mara chache kuliko Yanga, imefanikiwa kutetea uwezo wa ligi yetu kupeleka team nne, imeingia mara nyingi zaidi robo fainali ndani ya hii misimu minne kiasi kwamba imekuwa granted kushiki Super Cup, imepanda ranks za vilabu bora Africa..nk.


Tukiachana na kuchukua kombe huko CAFCL&CAFCC, nipe umuhimu wowote tuliouona juu ya Yanga kushiriki huko mara nyingi alizoenda kuliko Simba Sc.


Sio mnapiga kelele kuifunga Mazembe ambayo ilikuwa ni nyama ya group zima kujichumia points.
Huna hoja ya msingi,,Yanga ni mbabe wenu daima itabaki hivyo.

Mwanaume wa kweli hufanya kila namna aweke heshima ndani ya familia yake kwanza kabla ya kutaka heshima za majirani, sasa iweje wewe unajitapa kuheshimiwa na majirani wakati mkeo tu ndani ya nyumba anakuona boya tu??

Hayo mengine ni maneno ya kwenye kanga tu.
 
Huna hoja ya msingi,,Yanga ni mbabe wenu daima itabaki hivyo.

Mwanaume wa kweli hufanya kila namna aweke heshima ndani ya familia yake kwanza kabla ya kutaka heshima za majirani, sasa iweje wewe unajitapa kuheshimiwa na majirani wakati mkeo tu ndani ya nyumba anakuona boya tu??

Hayo mengine ni maneno ya kwenye kanga tu.

Hakuna kombe lolote la ndani unalolijua wewe ambalo Simba Sc hajawahi kuchukua, tokeni tukapambane huko nje badala ya kulemaa na hutu tukombe twa ndani.

Umechukua kombe mara 28 na mara zote ulipata nafasi ya kushiriki huko nje ila hakuna la maana hata moja ulilofanya.
 
Back
Top Bottom