Yaani watu wanapumuliwa kisogoni dakika 30 zote za mwanzo afu mnasema shikalo kauza mechi???na ile pasi ya yacouba alopewa ndani ya sita akapiga ikagonga post angefunga mngemlaumu shikalo tatizo kaseja mchawi alishachungulia akaona leo fedheha ndo hakutaka kudaka
KUJARIBU KUIZUIA YANGA HII KUCHUKUA POINT 3 NI SAWA NA KUJARIBU KUZUIA TUMBO LA KUHARISHA
Mwaka huu wote mtahara
Frustration desayi NAWATAFUNA Pacbig na nyie zamu yenu ikifika bora tafuteni viwanja vibovu mana kwa mkapa tutawapiga nyingi