Yanga mpira mnacheza, magoli yanafungwa na burudani tunapewa, kongole sana wananchi

Yanga mpira mnacheza, magoli yanafungwa na burudani tunapewa, kongole sana wananchi

Eti kmc wakapiga uzi mwekundu na nyeupe...[emoji3][emoji3][emoji3]
Kilichowakuta awatorudia tena kuizungusha yanga mara songea mara kirumba awaeleweki wanakuwa wanatafuta nini, sababu icho kitu wangekuwa wanakifanya ata kwa mechi za simba lakini wao wamekomaa na yanga tu kuipeleka mikoani kwenye viwanja vibovu
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Mkuu hebu fafanua
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Mnatamani bashite arudi kwenye zama zake ampe gsm case kama alivyofanya kwa manji
 
Naiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Tabia hizo Ni za Mo tu bongo ndio mnunua mechi

Leo mmesahau mlikuwa mnafunga magori ya offside na dakika za 97 na 98

Leo mmesahau mlivyo wajinga wenzenu wanamaliza mechi dakika 30 za Kwanza na kuanza kulinda magori nyie mnaanza kulia Lia

Kwahiyo hata gemu ya ngao mliyopigwa nayo GSM waliinunua?

Uwe na akili basi japo kiasi uelewe kwamba mwaka huu hamna chenu.
 
Yaani watu wanapumuliwa kisogoni dakika 30 zote za mwanzo afu mnasema shikalo kauza mechi???na ile pasi ya yacouba alopewa ndani ya sita akapiga ikagonga post angefunga mngemlaumu shikalo tatizo kaseja mchawi alishachungulia akaona leo fedheha ndo hakutaka kudaka

KUJARIBU KUIZUIA YANGA HII KUCHUKUA POINT 3 NI SAWA NA KUJARIBU KUZUIA TUMBO LA KUHARISHA
Mwaka huu wote mtahara
Frustration desayi NAWATAFUNA Pacbig na nyie zamu yenu ikifika bora tafuteni viwanja vibovu mana kwa mkapa tutawapiga nyingi
 
Yaani watu wanapumuliwa kisogoni dakika 30 zote za mwanzo afu mnasema shikalo kauza mechi???na ile pasi ya yacouba alopewa ndani ya sita akapiga ikagonga post angefunga mngemlaumu shikalo tatizo kaseja mchawi alishachungulia akaona leo fedheha ndo hakutaka kudaka

KUJARIBU KUIZUIA YANGA HII KUCHUKUA POINT 3 NI SAWA NA KUJARIBU KUZUIA TUMBO LA KUHARISHA
Mwaka huu wote mtahara
Frustration desayi NAWATAFUNA Pacbig na nyie zamu yenu ikifika bora tafuteni viwanja vibovu mana kwa mkapa tutawapiga nyingi
Mnarudia kosa lilelile la kumtukana simba kabla hamjavuka rivers. Nasema na hii msimtukane simba kwa kuwa mmevuka geita na sasa mpo Songea
 
Mkuu hebu fafanua
Wachunguze ukweli wa Biashara na Dodoma Jiji kupewa 10M na Rc wao. Wakati huo huo RC wa Mara amesema hawezi kutoa 10M kijinga na wakati hata hawala yake hajamjengea nyumba na amezaa nae watoto 2. Sasa nani alitoa kama sio yeye? Bila shaka jibu ni GSM. RC wa Dodoma ni kapuku hawezi kutoa 10M na hana interest za kisiasa katika jiji la dodoma na wilaya zake, naamini hawezi toa 10M kizembe
 
Ligi ipo na match 30. Sasa hivi mmecheza metch 3 bado 27. Ndio muda wenu wa kufurahi huu.

Simba bado tuna mechi 28. Tulizeni mzuka.
 
Wachunguze ukweli wa Biashara na Dodoma Jiji kupewa 10M na Rc wao. Wakati huo huo RC wa Mara amesema hawezi kutoa 10M kijinga na wakati hata hawala yake hajamjengea nyumba na amezaa nae watoto 2. Sasa nani alitoa kama sio yeye? Bila shaka jibu ni GSM. RC wa Dodoma ni kapuku hawezi kutoa 10M na hana interest za kisiasa katika jiji la dodoma na wilaya zake, naamini hawezi toa 10M kizembe
Hao GSM wata sanda tu. Muda utaongea bado mechi 27.
 
Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌

N:B kmc msiludie kuipeleka yanga mikoani na kuikamia na mechi za simba pelekeni uno tuone!
Samahani kuuliza, hivi mpaka sasa hii timu imecheza na timu gani vileee? Wewe kama mcheza mpira wa Bonanza ukicheza na mtoto wako wa miaka 5 unachezaje? Nafikiri umeshanielewa. Timu inayojuwa kucheza mpira mzuri na wa maana inacheza mechi za kimataifa na wanaume wenzao na si Watoto wa ngumbalu.
 
Samahani kuuliza, hivi mpaka sasa hii timu imecheza na timu gani vileee? Wewe kama mcheza mpira wa Bonanza ukicheza na mtoto wako wa miaka 5 unachezaje? Nafikiri umeshanielewa. Timu inayojuwa kucheza mpira mzuri na wa maana inacheza mechi za kimataifa na wanaume wenzao na si Watoto wa ngumbalu.
Wanaume wenzao njombe mji ya botswana na bado mkawa mnacheza mpira makande, we jamaa ni amnazo kabisa
 
Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌

N:B KMC msirudie kuipeleka Yanga mikoani na kuikamia na mechi za Simba pelekeni huko tuone!
Waache kucheza na watoto ndipo utajuwa mpira wao ukoje. Wangekuwa wa maana wasingetolewa na timu za kibabe kimataifa.
 
Back
Top Bottom