Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
- Thread starter
-
- #21
Kilichowakuta awatorudia tena kuizungusha yanga mara songea mara kirumba awaeleweki wanakuwa wanatafuta nini, sababu icho kitu wangekuwa wanakifanya ata kwa mechi za simba lakini wao wamekomaa na yanga tu kuipeleka mikoani kwenye viwanja vibovuEti kmc wakapiga uzi mwekundu na nyeupe...[emoji3][emoji3][emoji3]
Goli kipa gani ww kufungwa magoli ya hovyo kama yale.
Shikalo kanunuliwa.
Kama manula alivyonunuliwa kwenye ngao ya jamii[emoji849][emoji849][emoji849]Kama alivyonunuliwa manura alivyotunguliwa na mayele[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu hebu fafanuaNaiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Ya Kigoma lwanga alivyowapasua[emoji3]Kama manula alivyonunuliwa kwenye ngao ya jamii[emoji849][emoji849][emoji849]
Ya Kigoma. Mpaka tuwe pungufu .[emoji23][emoji23][emoji23]Ya Kigoma lwanga alivyowapasua[emoji3]
Mnatamani bashite arudi kwenye zama zake ampe gsm case kama alivyofanya kwa manjiNaiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Tabia hizo Ni za Mo tu bongo ndio mnunua mechiNaiomba serikali kupitia TFF na PCB kuchunguza mienendo ya GSM katika soka la Tanzania. Naona kabisa wanatumiwa vibaya wachezaji wetu. GSM ni Sabaya mwingine adhibitiwe haraka sana. Nb: Tabasamu la Hersy na Farouk Shikaru[ Faru She curl] lina mashaka sana. Faru She curl amefurahia kitu na GSM amempongeza kwa kazi nzuri.
Mnarudia kosa lilelile la kumtukana simba kabla hamjavuka rivers. Nasema na hii msimtukane simba kwa kuwa mmevuka geita na sasa mpo SongeaYaani watu wanapumuliwa kisogoni dakika 30 zote za mwanzo afu mnasema shikalo kauza mechi???na ile pasi ya yacouba alopewa ndani ya sita akapiga ikagonga post angefunga mngemlaumu shikalo tatizo kaseja mchawi alishachungulia akaona leo fedheha ndo hakutaka kudaka
KUJARIBU KUIZUIA YANGA HII KUCHUKUA POINT 3 NI SAWA NA KUJARIBU KUZUIA TUMBO LA KUHARISHA
Mwaka huu wote mtahara
Frustration desayi NAWATAFUNA Pacbig na nyie zamu yenu ikifika bora tafuteni viwanja vibovu mana kwa mkapa tutawapiga nyingi
Wachunguze ukweli wa Biashara na Dodoma Jiji kupewa 10M na Rc wao. Wakati huo huo RC wa Mara amesema hawezi kutoa 10M kijinga na wakati hata hawala yake hajamjengea nyumba na amezaa nae watoto 2. Sasa nani alitoa kama sio yeye? Bila shaka jibu ni GSM. RC wa Dodoma ni kapuku hawezi kutoa 10M na hana interest za kisiasa katika jiji la dodoma na wilaya zake, naamini hawezi toa 10M kizembeMkuu hebu fafanua
Hao GSM wata sanda tu. Muda utaongea bado mechi 27.Wachunguze ukweli wa Biashara na Dodoma Jiji kupewa 10M na Rc wao. Wakati huo huo RC wa Mara amesema hawezi kutoa 10M kijinga na wakati hata hawala yake hajamjengea nyumba na amezaa nae watoto 2. Sasa nani alitoa kama sio yeye? Bila shaka jibu ni GSM. RC wa Dodoma ni kapuku hawezi kutoa 10M na hana interest za kisiasa katika jiji la dodoma na wilaya zake, naamini hawezi toa 10M kizembe
Samahani kuuliza, hivi mpaka sasa hii timu imecheza na timu gani vileee? Wewe kama mcheza mpira wa Bonanza ukicheza na mtoto wako wa miaka 5 unachezaje? Nafikiri umeshanielewa. Timu inayojuwa kucheza mpira mzuri na wa maana inacheza mechi za kimataifa na wanaume wenzao na si Watoto wa ngumbalu.Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌
N:B kmc msiludie kuipeleka yanga mikoani na kuikamia na mechi za simba pelekeni uno tuone!
Wanaume wenzao njombe mji ya botswana na bado mkawa mnacheza mpira makande, we jamaa ni amnazo kabisaSamahani kuuliza, hivi mpaka sasa hii timu imecheza na timu gani vileee? Wewe kama mcheza mpira wa Bonanza ukicheza na mtoto wako wa miaka 5 unachezaje? Nafikiri umeshanielewa. Timu inayojuwa kucheza mpira mzuri na wa maana inacheza mechi za kimataifa na wanaume wenzao na si Watoto wa ngumbalu.
Waache kucheza na watoto ndipo utajuwa mpira wao ukoje. Wangekuwa wa maana wasingetolewa na timu za kibabe kimataifa.Yanga hii inaonyesha Sana mwanga katika kupambania ubingwa msimu huu, soka linachezwa kotekote iwe kwenye viwanja vibovu ama kwenye uwanja mzuri mbungi inapigwa tu, aina ya wachezaji waliosajiliwa ni jibu tosha ya kinachofanyika uwanjani, nawapa heko waliosajili🙌🙌🙌
N:B KMC msirudie kuipeleka Yanga mikoani na kuikamia na mechi za Simba pelekeni huko tuone!
Lkn pia kwa mkapa ngao ya jamii na watoto walipigwa kimoja chali. Hawatomsahau Mayele.Waache kucheza na watoto ndipo utajuwa mpira wao ukoje. Wangekuwa wa maana wasingetolewa na timu za kibabe kimataifa.
ewaaaaaaKama alivyonunuliwa manura alivyotunguliwa na mayele[emoji1787][emoji1787][emoji1787]