Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Huyo Bingwa aliekufunga alicheza na nani Super Cup?Hii hawataki kusikia..Nadhani wengi ni wale wa 2000s
Hivi tangu yanga, ianzishwe, ikichukua ibingwa wa Mashindano ya CAF, safari hii, mara ya tatu au nne.Umesema ukweli ,wakina MwakaRobo watakuja kukutukana.
Unafuatilia na kuangalia mechi zote za waarabu na league yao yaani wale jamaa kwenye mpira wana mauza uza kushinda huku kwenye league yetu.Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
NB: Enyimba (timu jina kama ilivyo Simba) anaecheza na Wydad Casablanca muda huu, ameshakula tatu mpaka sasa wakati hata kipindi cha kwanza hakijaisha (aibu inatunyemelea)
Sio ihefu tena🤣🤣Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
NB: Enyimba (timu jina kama ilivyo Simba) anaecheza na Wydad Casablanca muda huu, ameshakula tatu mpaka sasa wakati hata kipindi cha kwanza hakijaisha (aibu inatunyemelea)
Msm wa kwanza???? Msm mingne hyo mlkuwa wapiSimba aliaminiwa na WaAfricka ila ameewaangusha sana ,timu gani kila msimu ni Robo tu miaka nenda rudi hawajifunzi makosa ?
Yanga msimu wa kwanza baada ya miaka mingi kaingia fainali na msimu huu si ajabu akaishia nusu ama kutwaa kombe kabisa.
🤣🤣Akili za mashabiki wa Yanga za kisenge sana
Yani timu yao inatolewa klabu bingwa inaenda kucheza shirikisho wakihesabika ni losers wa klabu bingwa, wanafika fainali wanafungwa na timu ambayo haikuwa hata kwenye klabu bingwa USM Alger wanajiona bora
Ni dharau sana klabu iliyokuwa mashindano makubwa ya klabu bingwa kufungwa na klabu ambayo umeikuta kwenye shirikisho
Kwa maneno rahisi: Timu kubwa jinga(Yanga) alifungwa na katimu kadogo kashirikisho (USM Alger)
Vip umekula lakini?Simba aliaminiwa na WaAfricka ila ameewaangusha sana ,timu gani kila msimu ni Robo tu miaka nenda rudi hawajifunzi makosa ?
Yanga msimu wa kwanza baada ya miaka mingi kaingia fainali na msimu huu si ajabu akaishia nusu ama kutwaa kombe kabisa.
Utopolo baada ya robo karne ndio anaingia makundi then anamcheka anayefika robo fainal CL kila mwaka, haya nayo ni maajabu ya mileniaSimba aliaminiwa na WaAfricka ila ameewaangusha sana ,timu gani kila msimu ni Robo tu miaka nenda rudi hawajifunzi makosa ?
Yanga msimu wa kwanza baada ya miaka mingi kaingia fainali na msimu huu si ajabu akaishia nusu ama kutwaa kombe kabisa.
Wenye mpira wao ndio wameona wampe naniVigezo gani hivyo vilivyoanishwa au ndio hivi vya wakina Mazembe,Enyimba kufa nyingi na wewe ukifa kiume?
Tatizo la Simba kila mwaka anaishia hapo hapo hakuna maendeleo ndio maana tunamdharau ,sisi tunataka utofauti .Utopolo baada ya robo karne ndio anaingia makundi then anamcheka anayefika robo fainal CL kila mwaka, haya nayo ni maajabu ya milenia
Simba vs kaizer walicheza robo fainali mwaka gani kombe la shirikisho?Uzi unasema soka la Afrika na mashindano ya CAF ,sasa shirikisho nalo ni miongoni mwa hayo mashindano.
Simba iliwahi kushiriki shirikisho na kutolewa Robo fainal kama kawaida yake na kusifiwa amekufa kiume kwa Kaizer Chiefs .
Ni Orlando Pirates ,hayo ni makosa ya kiufundi.Simba vs kaizer walicheza robo fainali mwaka gani kombe la shirikisho?
Yameanza kutimiaIlo sikupingi mkuu.....hata uchezaji wao kati ya mamelods na Yanga unafana
Mwaka gani huo? Acha kudanganya hapaUzi unasema soka la Afrika na mashindano ya CAF ,sasa shirikisho nalo ni miongoni mwa hayo mashindano.
Simba iliwahi kushiriki shirikisho na kutolewa Robo fainal kama kawaida yake na kusifiwa amekufa kiume kwa Kaizer Chiefs .
Mbona heading yako yako ipo duni (inferior) na kiubaguzi (racist) wa kijinga (ignorance) sana.Matokeo ya mechi za AFL ni ushahidi tosha kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
NB: Enyimba (timu jina kama ilivyo Simba) anaecheza na Wydad Casablanca muda huu, ameshakula tatu mpaka sasa wakati hata kipindi cha kwanza hakijaisha (aibu inatunyemelea).
Yanga hii hii vibonde wa Ihefu au yanga ipi ?kuwa Waarabu wanatawala sana soka la Afrika na kwa sasa ni timu za Yanga na Mamelodi pekee zinazoweza kuleta heshima ya mtu mweusi katika soka letu.
Kabisa mkuuYameanza kutimia