joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
So pesa iliyo baki baada ya matumizi kwa mujibu wako unaiitaje?Milioni 500 ndicho kilichobaki ktk club yetu ya Yanga, sasa pesa iliyobaki after matumizi sio lazima ndo iwe faida. Rais amekuja kutupiga changa la macho hapo.
Mkopo hauwekwi kwenye income and expenses statement sheet. Kwa sababu mkopo ni liability.Au mfano maana kuna wengine bila scenario hamu helewi.Mfano umekopa sh 100,unatakiwa ulipe 120 baada ya miaka mitano, huku 20 ni riba yake na kila PHASE natakiwa kulipa 25 per Yr.
So biashara zako kwa mwaka unaingiza 50,kwa hiyo 25 ni ya mkopo assume 15 ni kwa ajili ya matumizi mengine,hivi hiyo 10 iliyobaki utaitreat kama nini?
Mkuu na hiki ndo ambacho najiuliza nikiweka ushabiki pembeni.1. Sidhani kama Yanga imetoa taarifa za kina juu ya huo mkopo, mimi sikusikiliza hiyo hotuba. Sidhani kama ni rahisi kujua huo mkopo ni aina ipi kati ya hizo 3 ulizoziweka hapo, japo inaonekana inaweza ikadondokea namba 1.
2. Uongozi ndo ulipaswa kutoa taarifa za namna ya kurejeshwa kwa mkopo huo. Sisi tutajuaje wakati hata huo mkataba wa mkopo hatuufahamu, jina la tu aliyetukopesha hatulijui. Kuna shida mahali, tuacheni ushabiki wa Simba na Yanga, hizi pesa hawa jamaa wanatuibia sana, ndo maana hizi timu hazina maendeleo yao.
3. Narudia tena, kama pesa inaonesha iliingia, na sio accrual account, hii sio bajeti pia bali ni real income. Ilipaswa ioneshe matumizi yake au laah kwenye kufunga hesabu, tungeona negative ya 4B ambayo ingetokana na deni ambalo tunalo.
So kampuni yenye haki ya kutangaza faida ni ile tu isiyokua na mkopo?Mtaji upi wakati kiasi kilichobaki kwemye mkopo.?
Kosa lililoko hapo ni kwamba mkopo haupaswi kuwepo kwenye imcome and expense sheet.
Kwa sababu mkopo ni liabiity.
Kiuhalisia yanga walikusanya billion 13
Matumizi yao yakafikia bilion 17.3
Kwa hiyo wakakopa bilion 4.8
Kwenye kujibana ndo ikabaki 500 million.
Sasa mtaji hapo hamna kiichobaki ni sdhemu ya mkopo.
Kwa hiyo kiustaarabu 500 wakilipa saiv ni wamepunguza deni.
Tungesema wamepata faida kama wamgekusanya billion 22. Alafu wakalipa hilo deni. Kiasi kilichobaki tungesema ni faida.
Ila hapo hakuna kitu kama hicho.
Brother umeuliza swali zuri sana.So kampuni yenye haki ya kutangaza faida ni ile tu isiyokua na mkopo?
Kuna swali zuri umeulizwa "taasisi yenye mkopo haitakiwi kutangaza faida "?Mkuu na hiki ndo ambacho najiuliza nikiweka ushabiki pembeni.
Hii hapa UEFA annual report and consolidated financial statements ambayo inatumiwa na club zote za ulaya kuwasilisha hesabu zao za mwaka.
Liverpool FC — Financial Information
The official Liverpool FC website. The only place to visit for all your LFC news, videos, history and match information. Full stats on LFC players, club products, official partners and lots more.www.liverpoolfc.com
Huhitaji CPA, kulijua hilo. Ni cheti cha mwaka mmoja cha uhasibu kinatosha. Jibu rahisi ni kuwa unaweza ukapata faida japo una mkopo. Kama hujaelewa, sema tukuelezee vizuri, lakini usisahau kuweka wazi Elimu yako ya juu uliyofikia. Ili maelezo yetu yaendane na kiwango cha elimu yako.
Profit=Revenues-Expenses.Hivi 500M ni faida au ni baki ya pesa baada ya manunuzi?
Ukienda kununua product ya 5,000 ukafika ukakuta inauzwa 4,000 utasema buku ni faida?
Mi nadhani faida ni ile iliyotokana baada ya bidhaa ya 5,000 kuja kuuzika, sasa chenchi ya buku nayo inaitwa faida?
Basi kama hujui tukubaliane tu ni sahihi kusema taarifa yao ya fedha haina makosa.1. Sidhani kama Yanga imetoa taarifa za kina juu ya huo mkopo, mimi sikusikiliza hiyo hotuba. Sidhani kama ni rahisi kujua huo mkopo ni aina ipi kati ya hizo 3 ulizoziweka hapo, japo inaonekana inaweza ikadondokea namba 1.
2. Uongozi ndo ulipaswa kutoa taarifa za namna ya kurejeshwa kwa mkopo huo. Sisi tutajuaje wakati hata huo mkataba wa mkopo hatuufahamu, jina la tu aliyetukopesha hatulijui. Kuna shida mahali, tuacheni ushabiki wa Simba na Yanga, hizi pesa hawa jamaa wanatuibia sana, ndo maana hizi timu hazina maendeleo yao.
3. Narudia tena, kama pesa inaonesha iliingia, na sio accrual account, hii sio bajeti pia bali ni real income. Ilipaswa ioneshe matumizi yake au laah kwenye kufunga hesabu, tungeona negative ya 4B ambayo ingetokana na deni ambalo tunalo.
Sikutegemea kama katika hili tungeweka ushabiki, mashabiki wa Simba na Yanga tungeungana ili kutokomeza huu ujanja ujanja wa hawa mabosi, Club hazina akademy za maana, hazina mali za kueleweka, pesa zote za faida zinabaki kulipa madeni ambayo wametukopesha.Mkuu na hiki ndo ambacho najiuliza nikiweka ushabiki pembeni.
Hii hapa UEFA annual report and consolidated financial statements ambayo inatumiwa na club zote za ulaya kuwasilisha hesabu zao za mwaka.
Liverpool FC — Financial Information
The official Liverpool FC website. The only place to visit for all your LFC news, videos, history and match information. Full stats on LFC players, club products, official partners and lots more.www.liverpoolfc.com
Revenue ni out put baada ya mauzo ya bidhaa sio chenchi.Profit=Revenues-Expenses.
Rudi tena shule kadai ada yako.Mimi ni shabiki wa Yanga, profession yangu ni BA. Kuna kitu hapo hakipo sawa, hakuna faida endapo kama bado una deni. Na kwanini deni halijalipwa hata kidogo? Hapo deni ni 4B, deni lina riba kiasi gani? Mbona ni loss kubwa sana hapo.
ndio,Naomba kufahamu ukiwa na deni huwezi kupata faida? utalipa vipi deni kama biashara yako haina faida?
alilipa mwaka gani?Kwani Mo alilipa kiasi gani.
Basi hakuna kampuni yenye faida maana ni ngumu sana kuendesha biashara bila mkopondio,
faida kwa nature ya makampuni ni pale tu unapo-break even........
Mkuu kwani ni lazima kutumia faida yote kulipa deni mpaka limalizike ndio uanze kuhesabu faida, si unaweza kutumia sehemu ndogo tu ya faida kulipunguza kidogo kidogo?.......Kuna mikopo ya kulipwa kwa kipindi kirefu tena kidogo kidogo tu.Mimi ni shabiki wa Yanga, profession yangu ni BA. Kuna kitu hapo hakipo sawa, hakuna faida endapo kama bado una deni. Na kwanini deni halijalipwa hata kidogo? Hapo deni ni 4B, deni lina riba kiasi gani? Mbona ni loss kubwa sana hapo.
So kutoka 2021 mpaka 2023 ndio imedouble?alilipa mwaka gani?
dodoma viwanja 50x50 mwaka 2015 ilikua less than 10M...
leo eneo lile lile unaweza pata uwanja wa ukubwa huo kwa bei hio hio?
MO alinunua hisa asilimia 49 tu kwa billion 20, hakuinunua Simba.Kwani Mo alilipa kiasi gani.