Yanga Sc 0-0 Simba SC| Ligi Kuu NBC | Benjamini Mkapa Stadium

Bikra ya yanga inaenda kalutobolewa hadharan na mkung wa mnyama
 
Hii mechi ya leo bora iwe droo au yanga apoteze, ila Simba akipigwa Msimbazi hakukaliki,lile swala la bil 20 lazima litaibuka.
 
Uzuri Yanga tunaingia tukiwa hatuna presha ya aina yoyote ile! Hata itokee Mo Fc wakapata ushindi, bado Bingwa wa msimu huu atabakia kuwa Yanga.

Halafu Yanga tumeshazoea kushinda! Kwetu sisi, sare ndiyo kupoteza/ kufungwa.
Yanga wanataka ubingwa bila kufungwa mechi hata 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…