Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Post tena picha yahuyo bwana giovan hunt game ilopigwa kwa mkapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Penalty Mnaweza Kupata Lakini Swala La Kushinda Au Kutoa Sare Halipo.Kuna penalty kwa Morrison..Utaniambia baadaye..!
Sawa..! Nakukumbusha tu..Kwenye Derby iliyopita Diara alipoteza Network dakika kadhaa baada ya kusave Kombora la Sadio Kanoute.Penalty Mnaweza Kupata Lakini Swala La Kushinda Au Kutoa Sare Halipo.
Huyu saido huyu kwenye game ya leo sina imani nae kabisa, bora Ngushi.Hawa Watu Wawili Leo Wanapeleka Msiba Ukolokoloni [emoji23] View attachment 2205832
Hata mm kuchezesha Makambo na Mayele naona ndiyo njia ya kuiangamiza Simba kirahisiKIKOSI CHA YANGA.
1. DIARRA
2. DJUMA
3. SHOMARI
4. BANGALA
5. MWAMNYETO
6. SURE BOY
7. MOLOKO
8. AUCHO
9. MAYELE
10. FEISAL
11. MAKAMBO.
Sasa hii reply yako ina uhusiano gani na nilichoandika mimi? Km ni ishu ya kutokulala mbn Mimi nilikuwa macho pia muda anapost huu Uzi,au na Mimi nalinda nchi?Hii nchi inalindwa babu, usione unalala usingizi fofofo unaamka salama. Muulize Zelensky akwambie!
Na wewe hii comment ume-reply saa 7 kamili usiku..ni coincidence au nawe ni masharti ya mganga?Pengine masharti ya mganga
Mbona Hata Manula Alitaka Kuchanika Kwapa Kutaka Kusave Kombora La Godfather Wa Bujumbura (Ntibazonkiza) Lililogonga Mwamba Na Kurudi Kisha Mayele Kuweka Kambani Ikawa Offside , Mwambie Manula Ntibazonkiza Anakuja Kuanza Naye Upya Haanzii Alipoishia [emoji4]Sawa..! Nakukumbusha tu..Kwenye Derby iliyopita Diara alipoteza Network dakika kadhaa baada ya kusave Kombora la Sadio Kanoute.
Leo mwambie Diara kuwa Kanoute anaanzia alipoishia..!
Mkuu Upo Serious Kweli? [emoji23], Ngush??! [emoji23]Huyu saido huyu kwenye game ya leo sina imani nae kabisa, bora Ngushi.
wa kutetema kama Masha Love Shadeeya 🤣🤣🤣