Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue hata sijategemea. 🤣Itakuwa GSM hajauza vilalio vya kutosha, anawaza mshahara hajalipwa 🤣🤣
Mlikuwa mnamlaumu Kaze, sasa mmeamua kabisa kabisa kumpangia timu NabiDenis Nkane aingie upande wa saido
Ndio hio team inakuzidi points 10 na umeshindwa kuifunga wewe wa Champions leagueEti hii timu ndio inajinasibu kucheza champions ligue..na huyo mviziaji wao..timu nzima inategemea mtu mmoja..si umeona hata penalti wanataka apige yeye..akiumwa je?
Si ndio mnayemuambia kila siku..hata leo mnangoja mteteme!Wewe nawe kiazi cha Msimbazi mbona unaongea bila kufikiria? Simba imefika robo fainali kwa mastraika gani wa ajabu zaidi ya Kibu, Mugalu, Boko na Kagere na tegemezi wenu alikuwa Sakho.
Unasema Yanga inamtegemea Mayele, ina maana magoli yote ya Yanga yanefungwa na Mayele pekee?
🤣🤣Leo zamu yako mtani lazima presha tuipandisheUjue hata sijategemea. 🤣
Ila naamini goli letu lipo. 😎
Mbona kinyonge hivyoNdio hio team inakuzidi points 10 na umeshindwa kuifunga wewe wa Champions league
Nyie mnamuimba nani?Si ndio mnayemuambia kila siku..hata leo mnangoja mteteme!
Ubingwa mmeshapata, ila lazima mpambaneNdio hio team inakuzidi points 10 na umeshindwa kuifunga wewe wa Champions league
Ndio uone sasa kama hategemewi mtu kuleNyie mnamuimba nani?
Mna nafasi kubwa ya kushinda wakitulia hapo mbele ya lango.Ila naamini goli letu lipo. 😎
Hii mechi tunashinda aseeh hapa hakijaharibika kitu
Lakini penalty djuma anaweza sana angepiga tu yeye
Halafu pia mkumbuke kiwa hawa waliwafunga na mechi ya pili mkachomoa goli dakika za usiku huku mkiwa kwenye klabu bingwa ukiiwa unatesaEti hii timu ndio inajinasibu kucheza champions ligue..na huyo mviziaji wao..timu nzima inategemea mtu mmoja..si umeona hata penalti wanataka apige yeye..akiumwa je?
Sawa banaHalafu pia mkumbuke kiwa hawa waliwafunga na mechi ya pili mkachomoa goli dakika za usiku huku mkiwa kwenye klabu bingwa ukiiwa unatesa