Tetesi: Yanga Sc kuachana na Kocha Mkuu Nabi

Tetesi: Yanga Sc kuachana na Kocha Mkuu Nabi

View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
IMG-20221025-WA0090.jpg
 
Kosa la NABI ni kumpanga Mayele na sio Makambo. Mayele anaecheza kibinafsi sio Bora kuliko Makambo anaecheza kitimu. Sasa Kwa nini Mayele hakutolewa mapema ili aingie Makambo au yoyote. Hapo ndio kosa la kocha lilipo. Yeye kocha ndio huwa anaefanya selection ya wachezaji Kwa hiyo hakuna ' wachezaji kucheza kibinafsi' bila kocha kuwajibika.
Daah mpira hujui kabisa.
 
Daah Yanga ishapotea sema Yanga walikosa maandalizi wao wana mechi za kimataifa wanaenda kucheza na kipanga sijui kifaru kigamboni...wachezaji wamenenepa balaa huyo Shaban Juma kanenepa hawezi kukimbia na huyo Kipa hivyo hivyo mipira anayoweza kudaka ni ile karibu yake hawezi kutoka kucheza mipira ua kona,Kona zote wanacheza mabeki Diara anachoweza ni kutoa pass za miguu vizuri na kuanzisha mashambulizi ila counter zote ni majanga kocha wamemlazimisha Kisinda arudi wakati walimsajiri Kambole ambae angesaidia Timu huyo Kisinda yeye anafikiria mbio tuu hata kama ni sehemu ya kutoa pass...juzi badala aanze Faridi Mussa kaanza Kisinda ambae hasaidii kukaba ambayo iliwafanya Simba waonekane kutawala kiungo muda mwingi huku Aucho akitumia kukaba kwa kufanya faulo maana alichoka sana kwa kufanya kazi mbili...
Kinacho kuuma ni kipi?
 
Nabi anawatesa sana Kolo, haondoki leo wala kesho
 
View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
Mikia mtahangaika sana Nabi bado yupo sana
 
Utopolo fc bada ya kusikia Simba Ina. Mipango na kocha wa viper nao wamekimbilia issue..

Kocha gani yule???mjinga mjinga tuu anazuia utadhani monaco hakuna mwalimu pale by the way yule sio kocha wa vipers ni wa timu ya taifa ya uganda
 
View attachment 2397066
YANGA YAACHANA NA KOCHA NASREDDINE NABI.
Taarifa rasmi zitakuijia hivi punde. Usiondoke

Anaandika Jemedari Saidi

Habari za uhakika zinasema Kocha NASRIDEEN MOHAMED NABI maisha yake na Yanga SC yamefikia tamati na ataondoka muda wowote.

Pamoja na mambo mengine lakini usajiri wa baadhi wa mastaa unahusishwa, huku ikisemekana kwamba aligomea kwa kutoa sababu za kiufundi. Nabi pia anahusishwa na magomvi na wasaidizi wake kwa muda sasa na misimamo mikali.

Kwenye soka sajili zingine ni "Political Signings" ambazo wakubwa ndiyo wanajua zaidi kwanini wanamtaka Kisinda, Morrison au Makambo kwa mfano, kuliko vile Kocha anavyotaka.

Kwahiyo kocha kuleta mambo yake ya kiufundi ni kutaka kuchelewesha maisha kuwa mepesi na kuyatia ugumu.

Kocha wa Vipers ya Uganda Mbrazil Roberto Oliveira anahusishwa na kuchukua nafasi ya Nabi ambaye ameiongoza Yanga SC kwenye michezo 43 ya Ligi Kuu bila kupoteza.

Mechi ya Derby ilikuwa ndiyo njia rahisi kumuondolea kama Yanga wangepoteza lakini mechi ikaisha kwa sare. Kama atafika salama mechi dhidi ya Club Africain itakua mtihani mkubwa sana kwake, asipotoboa hana chake. Waswahili wanasema 'Kamba hukatikia pabovu

Credit: Bin Kazumari
ma ta ko ya mama yake
 
Back
Top Bottom