Vipi kuhusu nauli + tiketi + gharama za malazi na mengineyo kwa wale waliotoka mikoani?Kama vipi bora game ihairishwe hadi baada ya mechi ya Kaizer ndio ipangwe ratiba nyingine. Pia Simba icheze kwanza na Namungo mechi ya raundi ya kwanza.
Man United vs Liverpool kulikua na mashabiki uwanjani?
Kwani walioingia uwanjani wameambiwa warudi nyumbani? Manchester United vs Liverpool juzi juzi, ile nayo tutaitaje?
Out of topicKaria na TFF yake ni Idiots kabisa.. Wanaleta masikhara kwenye burudani za watu..
Kwanza wafahamu hyo TFF sio ya mama yao.. Watu ndo tumewaweka hapo.. Tunauwezo wa kuwatoa kwa viboko.. Wasituletee udwanz sie
View attachment 1777519
View attachment 1777520
My Take
Kama TFF haikushirikisha timu zote ni wapumbavu wa kudumu. Kwa nini walipanga mechi saa 11 wakijua kuna changamoto
Naunga mkono yanga baada ya hayo mazoezi ondoeni tjmu uwanjani hata wakiwakata point FIFA wapo watawatetea
Mtaingia bure uwanjani.Vipi kuhusu nauli + tiketi + gharama za malazi na mengineyo kwa wale waliotoka mikoani?
Tff wanatugawia sambusa mashabiki naskia soseji zipo jikoni [emoji16]Mliopo uwanjani tupeni update
Huu upumbavu unaweza kusababisha tufungiwe na FIFA. Iweje serikali iingilie maamuzi ya soka?Hii si amri ya TFF ni wizara ya habari na michezo. Kuna siasa zinapenya hapa na hazikutumika busara. Kama kuna mtu inabidi awepo kwa maamuzi ya ghafla si wangeongea na timu zote tu. TFF wametii mamlaka kwa mujibu wa barua yao kujivua lawama.
Hawa hapa:Man United vs Liverpool kulikua na mashabiki uwanjani?
πππTff wanatugawia sambusa mashabiki naskia soseji zipo jikoni [emoji16]
Kutolalamika kwao ndio kiashirio cha kuwa kilichofanyika ni sahihi katika taratibu za mpira?Mbona Simba hawalalamiki?
Ni upumbavu wa hali ya juu,kitabu cha mtu mmoja tu kivuruge mchezo,pesa na kazi za watu? Huu ni upumbavu wa 100%Mama KADEMKA!!! nani anataka kusoma kitabu cha Mzee RUKHSA? Kitakuwa na nini cha maana zaidi ya blah blah zisizo na miguu wala tija.
SHIDA mganga alipiga RAMLI ya saa 11.
mbona Simba wao wametulia?
Kutolalamika kwao ndio kiashirio cha kuwa kilichofanyika ni sahihi katika taratibu za mpira?
Tatizo sangoma amerogea muda ulioahirishwa mechiMbona Simba hawalalamiki?