Kila siku ni kuhama tu viwanja! Ni lini timu itamiliki uwanja wake binafsi!! Yaani KMC iliyoanzishwa miaka michache tu iliyopita, inamiliki uwanja wake!! Halafu timu imeanzishwa tangu mwaka 1935! Eti mpaka leo inahemea tu kwenye viwanja vya timu nyingine!!Nawapingeza Kwa maamzi haya
Azam kama hawajui Yanga ni mteja wao
Wao wanaleta uadui Kwa wateja, Sasa huu ni mwanzo
Na matangazo yetu tunahamia DSTV
Yanga na Simba ni biashara ya serikali na tff na katu hawatokuja kumiliki uwanjaKila siku ni kuhama tu viwanja! Ni lini timu itamiliki uwanja wake binafsi!! Yaani KMC iliyoanzishwa miaka michache tu iliyopita, inamiliki uwanja wake!! Halafu timu imeanzishwa tangu mwaka 1935! Eti mpaka leo inahemea tu kwenye viwanja vya timu nyingine!!
Kila kiongozi anayeongoza Yanga lazima kwenye kampeni zake aahidi kujenga uwanja! Ila baada ya kupata madaraka, anaanza porojo!!
Hovyo kabisa. ☹️
Azam walitumiwa na SimbaMchagua jembe sio mkulima.
Na huu ni ushahidi mwingine kuwa Yanga ni wachawi.
Nilijua watatumia uwanja wao,utopolo hawana akili karibia wote sasa, imani za kishirikina zimewajaa,Nawapingeza Kwa maamzi haya
Azam kama hawajui Yanga ni mteja wao
Wao wanaleta uadui Kwa wateja, Sasa huu ni mwanzo
Na matangazo yetu tunahamia DSTV
Utakuwa umechanganya mafaili🤣Azam na 5imba ni Kenge, sanasana Azam, Vilabu vinavyokuja kucheza na Yanga wanawapokea na kuwapa ushirikiano, Ingekuwa jambo la ajabu Yanga kuendelea kuung'ang'ani ule uwanja. Wanaruhusu uwanja utumike kwa propaganda za kuichafua Yanga, mara sindano, mara uchawi nk. KMC hawana ushindani wowote wa nafasi dhidi ya Yanga, tofauti na Azam ambao ni washindani korofi. Maamuzi sahihi kwa wakati sahihi
Timu yako yenye wasomi kwanini ipigwe mara nne mfululizoTimu inaendeshwa kama kikoba Cha uswahilini. As if hakuna watu waliosoma ndani ya menejimenti.
Hiyo issue ya sindano kama ipo kweli kwanini haipelekwi FIFANadhani sababu ya wao kuukimbia Chamazi itakuwa ni ile ishu ya kuwa exposed.
Ile misindano kwenye pharmacy zinazouza dawa za binadamu huwezi kuzipata.
Na mimi kabla ya ile footage kuwa leaked mara yangu ya mwisho kuona mibomba ile ya sindano ilikuwa kwenye movie ya Predator ya Anold Schwarzenegger.
Kwenye kile kipande ambapo Roboti alijeruhiwa akawa anatoka damu za kijani akawa anajitibia akatoa sindano. Basi ile sindano ndio nimekuja kuiona Chamazi kwenye ile footage
Kinachobadilika ni stylesHata ubadilishe kitanda. Kugongwa ni kulekule tu!
Tunaenda kuwavuruga makolo mlikuwa comfortable uko MwengeNa huko walipohamia wakifungwa tena watahamia wapi
Yetu macho,mnatuvuruga kwa ulozi auTunaenda kuwavuruga makolo mlikuwa comfortable uko Mwenge
Sasa ndo mtajua dagaa sio mboga
Mnahangaika sana hata mjichome misindano kwenye masaburi kazi iko pale paleTunaenda kuwavuruga makolo mlikuwa comfortable uko Mwenge
Sasa ndo mtajua dagaa sio mboga
Nendeni salama.Nawapingeza Kwa maamzi haya
Azam kama hawajui Yanga ni mteja wao
Wao wanaleta uadui Kwa wateja, Sasa huu ni mwanzo
Na matangazo yetu tunahamia DSTV
Hata mkihamia Burundi tutawafataMnahangaika sana hata mjichome misindano kwenye masaburi kazi iko pale pale