mtungu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2021
- 270
- 435
wanataka kuuchosha tu uo uwanja ufabae mapema nazani sasa tff watunge kanuni uwanja mmoja utumike kwa mechi ngapi kule chamanzi ilikua sahihi kabisa timu mbili kule na kmc timu mbili sasa wanahama wakati uwanja wenyewe hata taa hauna siku latiba ikiwaitaji wote wacheze apo itakuwaje