Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa YangaNimesema "Hazijatoa maamuzi kwenye barua aliyoiwasilisha leo kuhusu kuvunja mkataba"
Sijui unaelewa nilichokiandika hapo?
Ndio basi huyuAfu bado mbovu
Hakuna maswala ya kuvumiliana kwenye ishu ambayo imewekewa muongozo wa hatua gani za kuchukuliwa endapo mchezaji atafikia hatua hiyoHawaruhusiwi kumvumilia?
Wao wamechagua kumvumilia. Kwa kufanya hivyo hawakiuki mwongozo wowote ule.Hakuna maswala ya kuvumiliana kwenye ishu ambayo imewekewa muongozo wa hatua gani za kuchukuliwa endapo mchezaji atafikia hatua hiyo
Kiukweli we haunaga kitu unajua kwenye mpira we Lete tu zile mada zako za Mzee mpiliMimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.
Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Hili ni shauri lingine na ili afike huko unakosema wewe ni lazima apitie huku kwanzaKama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
Nyie bado saaana. Mnasumbuliwa na mchezaji mmoja tena mla urojo! Wanasheria wenu kila siku wako Karume jasho linawatiririka kisa mchezaji mliyeletewa kwenye mfuko wa zawadi.Kiukweli we haunaga kitu unajua kwenye mpira we Lete tu zile mada zako za Mzee mpili
Una maanisha wamechagua kuvunja sheriaWao wamechagua kumvumilia. Kwa kufanya hivyo hawakiuki mwongozo wowote ule.
In short, Fei anawarudisha pale anapopataka, Kuvunja mkataba.Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.
Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Nyie unaowaweza wachezaji mbona wanakimbia bila taarifa?Nyie bado saaana. Mnasumbuliwa na mchezaji mmoja tena mla urojo! Wanasheria wenu kila siku wako Karume jasho linawatiririka kisa mchezaji mliyeletewa kwenye mfuko wa zawadi.
Je mngekuwa na wachezaji wakubwa kama Chama, Inonga, Kapombe au Phiri, mngeweza kweli kuwasimamia nyie?
Kuna kanuni inayotafsiri kwamba kwa kumsamehe kuna sheria iyakua imevunjwaUna maanisha wamechagua kuvunja sheria
Yaani ndiyo hapo hapo. Wana hamu ya kumkomoa, wengine wanapoongelea kumuweka asugue benchi hadi udenda unawatoka.In short, Fei anawarudisha pale anapopataka, Kuvunja mkataba.
Fei anachotaka ni kuvunja mkataba. Njia aliyotumia aliambiwa siyo sahihi, sasa kaibadili.....Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
Na hapa ndipo tatizo lilipo. Wanachokitaka baadhi ya mashabiki ni kukomoa. Nadhani viongozi wanataka pesa.Yaani ndiyo hapo hapo. Wana hamu ya kumkomoa, wengine wanaongelea kumuweka asugue benchi hadi udenda unawatoka.
Mshabadilika sasa😂Fei anachotaka ni kuvunja mkataba. Njia aliyotumia aliambiwa siyo sahihi, sasa kaibadili.....
CAS aende kufanya nn iwapo TFF wameshapokea ombi lake na hawajamalizana?
Ushauri wa kwenda huko unaweza mshauri baada ya TFF kusema huwezi kuvunja mkataba, kaa hapo Yanga cheza mpira.
Kwenye sheria ambayo imeainisha hadi adhabu ya faini pamoja na kufungiwa, ukienda kinyume ni kuvunja sheriaKuna kanuni inayotafsiri kwamba kwa kumsamehe kuna sheria iyakua imevunjwa
Na yanga hawamtaki tena sijui sisi simba tumchukue liwe kombe letu mwaka huuMimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.
Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Nani kakimbia bila taarifa?Nyie unaowaweza wachezaji mbona wanakimbia bila taarifa?
Manzoki tu kawashinda mkamleta kwenye uchaguzi aje apigw kampeni😂
Mm hata sikuelewi hoja yako haswa ni ipi.Mshabadilika sasa😂
Si mlidai hajatendewa haki katika kesi Ile na mkatuambia alikua sahihi kuvunja mkataba