Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Yanga yamtaka Fei Toto arudi klabuni haraka na pia klabu ipo tayari kumuuza

Nimesema "Hazijatoa maamuzi kwenye barua aliyoiwasilisha leo kuhusu kuvunja mkataba"

Sijui unaelewa nilichokiandika hapo?
Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
 
Hakuna maswala ya kuvumiliana kwenye ishu ambayo imewekewa muongozo wa hatua gani za kuchukuliwa endapo mchezaji atafikia hatua hiyo
Wao wamechagua kumvumilia. Kwa kufanya hivyo hawakiuki mwongozo wowote ule.
 
Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.

Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Kiukweli we haunaga kitu unajua kwenye mpira we Lete tu zile mada zako za Mzee mpili
 
Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
Hili ni shauri lingine na ili afike huko unakosema wewe ni lazima apitie huku kwanza
 
Kiukweli we haunaga kitu unajua kwenye mpira we Lete tu zile mada zako za Mzee mpili
Nyie bado saaana. Mnasumbuliwa na mchezaji mmoja tena mla urojo! Wanasheria wenu kila siku wako Karume jasho linawatiririka kisa mchezaji mliyeletewa kwenye mfuko wa zawadi.

Je mngekuwa na wachezaji wakubwa kama Chama, Inonga, Kapombe au Phiri, mngeweza kweli kuwasimamia nyie?
 
Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.

Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
In short, Fei anawarudisha pale anapopataka, Kuvunja mkataba.
 
Nyie bado saaana. Mnasumbuliwa na mchezaji mmoja tena mla urojo! Wanasheria wenu kila siku wako Karume jasho linawatiririka kisa mchezaji mliyeletewa kwenye mfuko wa zawadi.

Je mngekuwa na wachezaji wakubwa kama Chama, Inonga, Kapombe au Phiri, mngeweza kweli kuwasimamia nyie?
Nyie unaowaweza wachezaji mbona wanakimbia bila taarifa?

Manzoki tu kawashinda mkamleta kwenye uchaguzi aje apigw kampeni😂
 
Fei inabidi aadhibiwe vibaya sana kwa utoro... Mbona hili viongozi wangu wa yanga hamlioni.
 
In short, Fei anawarudisha pale anapopataka, Kuvunja mkataba.
Yaani ndiyo hapo hapo. Wana hamu ya kumkomoa, wengine wanapoongelea kumuweka asugue benchi hadi udenda unawatoka.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama alikua sahihi katika kuvunja mkataba kwa vipengele alivotumia angeenda CAS sasa maana so TFF waliamua bado ni mchezaji wa Yanga
Fei anachotaka ni kuvunja mkataba. Njia aliyotumia aliambiwa siyo sahihi, sasa kaibadili.....

CAS aende kufanya nn iwapo TFF wameshapokea ombi lake na hawajamalizana?

Ushauri wa kwenda huko unaweza mshauri baada ya TFF kusema huwezi kuvunja mkataba, kaa hapo Yanga cheza mpira.
 
Yaani ndiyo hapo hapo. Wana hamu ya kumkomoa, wengine wanaongelea kumuweka asugue benchi hadi udenda unawatoka.
Na hapa ndipo tatizo lilipo. Wanachokitaka baadhi ya mashabiki ni kukomoa. Nadhani viongozi wanataka pesa.
 
Fei anachotaka ni kuvunja mkataba. Njia aliyotumia aliambiwa siyo sahihi, sasa kaibadili.....

CAS aende kufanya nn iwapo TFF wameshapokea ombi lake na hawajamalizana?

Ushauri wa kwenda huko unaweza mshauri baada ya TFF kusema huwezi kuvunja mkataba, kaa hapo Yanga cheza mpira.
Mshabadilika sasa😂

Si mlidai hajatendewa haki katika kesi Ile na mkatuambia alikua sahihi kuvunja mkataba
 
Mimi nakwambiaga sana una kichwa kigumu. Scars Amesema tena na tena kuwa suala lililokuwa TFF na maamuzi yaliyofanyiwa review jana yalikuwa ni kumtambua Feisal kama mchezaji wa Yanga. TFF wameepuka kutoa maelezo in public kwa nini wameamua hivyo kwa sababu ni wazi ingegusia uamuzi wa Feisal kurudisha zile pesa.

Sasa Feisal anaona ok, yoyote yaliyopita fresh tu kama nilikosea poa ila sasa anawarudia TFF kuwaambia anavunja mkataba. Tunarudi kulekule kwamba sasa Yanga na Feisal watakaa chini huku TFF akiwa msuluhishi ili kuvunja mkataba huo kwa jinsi mkataba unavyosema inatakiwa kufanyika. Hapa Feisal ni dhahiri harudi nyuma, piga ua.
Na yanga hawamtaki tena sijui sisi simba tumchukue liwe kombe letu mwaka huu
 
Nyie unaowaweza wachezaji mbona wanakimbia bila taarifa?

Manzoki tu kawashinda mkamleta kwenye uchaguzi aje apigw kampeni😂
Nani kakimbia bila taarifa?

Halafu nikwambie kitu, binafsi sikuwa na mzuka wa kihiiivyo wa Manzoki kuja Simba kwa hiyo hata iliposhindikana niliona fresh tu.
 
Mshabadilika sasa😂

Si mlidai hajatendewa haki katika kesi Ile na mkatuambia alikua sahihi kuvunja mkataba
Mm hata sikuelewi hoja yako haswa ni ipi.
 
Back
Top Bottom