Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Sasa wewe chaguaTupe takwimu za mikson pale al ahly kacheza mechi ngapi na kafunga goals ngap?
Mikson mnaemkimbilia hajacheza hata mechi moja kwa msimu
Au ndo top scorer pale egypt
Yanga tuna mchezaji kutoka psl ambayo ndo league bora africa
Kinda miaka 33?!Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Umeeleza vizuri sana na soka unalifahamu humu kuna mizuzu inayojifanya inajua lakini ni ovyo kabisa.Saidooo ana miaka mingapi star wenu?
Gundogan ana 33 amesajiliwa barca
Assencio yuko psg
Casemiro
Auba
Xhaka
We mbumbumbu umekariri kuwa miaka 32 ni uzee
Mbumbumbu kazindueni lonya zenu porini
League ianze yanga bingwa tena
Hii imeeendaaaaa
Unaumia nini?SKUDO AKIWA MALUMO GALLATS
Mechi alizocheza. 22.
Dakika. 1103
MAGOLi 0 2
Assist. 0 2.
MIAKA 3 3
YANGA WANAZIDI KUBOMOKA MASIKINI.
HII SI ⁶ TULIYOITEGEMEA.
Team kuwa bingwa bila kuweka mchango wowote ni ujingaSasa wewe chagua
Mchezaji aliyekaa benchi Al ahly bingwa wa Afrika au kwasukwasu lililoshuka daraja psl
Sio kila mchezaji unampima kwa takwimu za magoli au assist nyie mbumbumbu mlilogwa na nani?SKUDO AKIWA MALUMO GALLATS
Mechi alizocheza. 22.
Dakika. 1103
MAGOLi 0 2
Assist. 0 2.
MIAKA 3 3
YANGA WANAZIDI KUBOMOKA MASIKINI.
HII SI ⁶ TULIYOITEGEMEA.
age 33 ni kinda?Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.
Ni € 25000
mkuu naona umeamka nao leo
DahStats: 2015-2016
Akiwa na Platnum Stars
Mechi. 6
Goals. 0
Assist. 0
Njano. 1
Nyekundu 0
Duh, uto wamechanganyikiwa!.Kwa umri wake kajitahidi sana
Wamesajili babu, mbwembwe kibao, wamepigwaHatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu.
Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye timu ya Marumo Gallants ya Afrika kusini iliyofika nusu fainali kombe la shirikisho Africa.
Kwa sasa Club yake ya zamani imeondolewa ligi kuu huko Afrika kusini kutokana na kutofanya vizuri na kusababisha ishuke daraja.
Mwana nusu fainali huyu alizua gumzo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kutoka na tetesi zake za kujiunga na miamba ya Soka ya Jangwani.
Club ya Yanga imempa jezi namba 6 winga huyu na anatarajiwa kufanya makubwa sana.
Hii ni replacement nzuri ya Morrison.