Yanga yamuuza Feisal kwa Azam FC

Tunawaangalieni mnavyofarijiana kwa kutaja figure kubwa.Ubwabwa wa bure si mzuri sana mtani,ona umewagharimuni kijana kaondoka kiulaini kabisa.
Wewe leta figure tulinganishe,
 
Nenda kawaulize Simba Sc wawape figure wao ndiyo wanajua[emoji41]
 
Negative can sometimes be good than positive

Kapime ukimwi halafu wakuambie upo positive tuone kama itakufurahisha
Kwahiyo hii mada inahusu kupima ukimwi?
 
Azam ni mwiba kwa makolo, Feisal ni mwiba kwa makolo, kwa hii combination ya Azam na Faisal makolo watapigwa kama Ngoma. Walikuwa wanashadadia kifo anguko lao.
 
hiyo unasema wewe shabiki wa andazi fc ila mama katoa amri fei aachiwe huru na imetekelezwa
 
Huu ni utoaji habari ya muhtasari.

Kama unataka taarifa kamili, nunua gazeti lako la mwanaspoti.

Niko na makala yangu mule!
huo utumbo uliouandika huko labda asome hawara yako
 
Ujinga huo
 
Dau halitawekwa wazi kwasababu thamani yake ni plate ya ubwabwa
I think mashabiki wa Simba tungejikita kwenye kuhimiza timu yetu ifanye usajiri ni aibu sisi kugeuka kuwa wambea na kushadadia mambo, msimu wa pili mfurulizo tunatoka kama tulivyo anza imagine wenzetu tulikua tunawacheka wamefika fainali CAF confederation tayari wana kombe la NBC kesho kutwa wanacheza fainali Azam federation, Azam FC ndio wametunyima ubingwa msimu huu tayari wana Feisal sisi tumebaki kua wanaharakati
 
Una amini kwamba mashabiki kujadili swala la Feisali kunaweza kuizuia timu ishindwe kusajili?
 
Scars OKW BOBAN SUNZU SAYVILLE njoeni huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…