Hakuna miungu wasaidizi ila Kuna miungu kingine ambayo biblia inaituhumu kuwa sio ya kikristo yaani ya kipagani mfano baali, na mingine mingineMungu mkuu aitwae yahweh
Na miungu wasaidizi ni wapi
What???Takbiiir?
OkHakuna miungu wasaidizi ila Kuna miungu kingine ambayo biblia inaituhumu kuwa sio ya kikristo yaani ya kipagani mfano baali, na mingine mingine
Takibiir,sema Allah wakubaruWhat???
HowTakibiir,sema Allah wakubaru
Kwani we umeelewa?Boss kwahyo huyo mjinga uliemjibu ndio mimi au kuna mwingine?
Umeelewa au Bado unakaza kichwa hiko😅😅
Nieleweshe yesu kawaje mwana wa MunguUmeelewa au Bado unakaza kichwa hiko😅😅
Kwa elimu ya kidini nifate
Nimekupa maandiko hayo umeyasoma??)Nieleweshe yesu kawaje mwana wa Mungu
Yapi hayoNimekupa maandiko hayo umeyasoma??)
Yapi hayo
Kwani mko wajinga wangapi?Boss kwahyo huyo mjinga uliemjibu ndio mimi au kuna mwingine?
Iko hivi mungu alipachika mimba kimuujiza katika tumbo la bikira Maria, ikumbukwe kuwa bikira huyo alikuwa na mchumba ake alieitwa yusufu ambaye hakuwahi kulala na Maria, then alitokewa usiku na kuambiwa kuwa mkewe atapata ujauzito naye atajifungua mtoto wa kiume na jina lake watamwita yesu...........Sawa umeeleweka ila natumaini humaanishi kuwa Mungu ni biological father wa yesu
Kwani wewe huwa hupati majaribu?Majaribu yaliwekwa ili kuona kama mwana wa MUNGU (YESU) Imani yake Iko thabiti akiwa katika umbile la kibinadamu na ili kuwatengenezea wanadamu namna wanatakiwa wawe kiimani
Hao ni waarabu kaka Huwezi kushidana nao wanavuta muda wa kula daku wasije pitiliza ohoooIko hivi mungu alipachika mimba kimuujiza katika tumbo la bikira Maria, ikumbukwe kuwa bikira huyo alikuwa na mchumba ake alieitwa yusufu ambaye hakuwahi kulala na Maria, then alitokewa usiku na kuambiwa kuwa mkewe atapata ujauzito naye atajifungua mtoto wa kiume na jina lake watamwita yesu...........
Nimechoka kutype ila sio mbaya chukua biblia Anza kusoma mathayo Sasa ivi utaelewa
Hizo Mathayo nimesoma sana nataka nianze Mwanzo na kuendeleaIko hivi mungu alipachika mimba kimuujiza katika tumbo la bikira Maria, ikumbukwe kuwa bikira huyo alikuwa na mchumba ake alieitwa yusufu ambaye hakuwahi kulala na Maria, then alitokewa usiku na kuambiwa kuwa mkewe atapata ujauzito naye atajifungua mtoto wa kiume na jina lake watamwita yesu...........
Nimechoka kutype ila sio mbaya chukua biblia Anza kusoma mathayo Sasa ivi utaelewa
Hata wewe kama ni Mzazi lazima Kuna mtoto ambaye unamkubali zaidiiii ya woteeee mkuu lakini haimaanishi kwamba wengine huwapendi NO, ndo Iko hivo hata kwa mungu pia yesu ni mtoto pekee aliyeumbwa kwanza yeye kabla ya vitu vingine na viumbe wengine kwahiyo akasaidiaa uumbaji wa viumbe vingine na vitu vingine kwahiyo lazima apewe kipaumbeleKwani wewe huwa hupati majaribu?
Kwani wewe sio mwana wa mungu? Kama sio mwana wa mungu wakati unavosema 'mungu baba....' huwa unajipendekeza kumuita baba ilihali wewe sio mwanae?