Black Tanzanite
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 218
- 244
Samaleku is what shekheee...!Now what is "sameleku" sheikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samaleku is what shekheee...!Now what is "sameleku" sheikh
I don't knowSamaleku is what shekheee...!
Haya ni kwa mujibu wa....? Maandiko au hisia zako? Kama ni maandiko tuletee utusaidie na sisi tuone na tujifunze andiko linalosema mungu alijiuvua uungu na kujivisha ubinadamu! Ili yeye mungu ajaribiwe na kiumbe alichokiumba yeye mwenyewe,ili yeye mungu ajaribiwe kiumbe alichokilaani yeye mwenyewe! Tufundishane!Unaambiwa aliuvaa mwili wa kibinadamu, utukufu wa kiungu aliuacha mbinguni. Ndio shetani akamjaribu ili amsujudu. Elewa hilo ni somo yakupasa usiwe na tamaa ya kutaka vitu harakaraka bila kufamya kazi utageuka kuwa mtumwa. Usiwe na masikio ya utafiti utapotea
Napenda kukumbusha kuwa Mungu huwa anaongea na shetani kwa mjibu wa maandiko haya;Samson Ernest unasemaje kuhusu hili?
1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu
Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Wapi yesu amesema yeye uungu wake upo katika roho? Mbona unampa dhambi ya bure mtu wa watu!Shetani aliujaribu mwili wa Yesu Si Roho.
Uungu wa Yesu ni katika Roho,
Mwili ulikuwa ni vazi la Muda tu Kwa KAZI maalum ya Ukombozi.
Yesu akamjibu shetani, imeandikwa, usimjaribu BWANA Mungu wako.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Sasa huelewi vipi hapo kuwa Yesu alijitambulisha kuwa ni Mungu?Wapi yesu amesema yeye uungu wake upo katika roho? Mbona unampa dhambi ya bure mtu wa watu!
Halafu umeandika vizuri sana. yesu akamjibu shetani, imeandikwa, "usimjaribu BWANA Mungu wako"
Aliyaongea hayo wakati ambao shetani anamjaribu yeye.alipoambiwa ajitupe aone kama mungu ataruma malaika wamdake,ndio akajibu hivyo.
Hiyo inamaana kwamba yesu alikuwa na akili timamu,alikubali kujaribiwa yeye,ila swala la yeye kumjaribu mungu alilikataa,kwanini? Kwa sababu anajua Mungu hajaribiwi!
Aliruhusu ajaribiwe au unasoma maandiko yapi?
Mungu alikubali ajaribiwe full stop .
Shetani mwenyewe anavomjaribu hakumuita yesu mungu,alimuita mwana wa mungu kama tulivo wana wa mungu mimi na wewe,ndio maana yesu,wewe na mimi wote tunamuita mungu BABA YETU.Sasa huelewi vipi hapo kuwa Yesu alijitambulisha kuwa ni Mungu?
Kumjibu shetani imeandikwa " Usimjaribu BWANA Mungu wako, hapo ni baada ya shetani kumusema " Ikiwa u mwana wa Mungu ".
Sasa shetani ajua Yesu alikuwa mtu katika mwili, na ni Mungu katika Roho,
Wewe kwann Fikra hazikurudii kungamua hayo?
1.Kama wewe ni mwana wa Mungu geuza jiwe kuwa mkate
2. Ukinisujudia nitakupa mali zote za ulimwengu
Mali zote ni za Mungu kwani Shetani ampe Mungu ahadi na masharti yote hayo?
Hii mpya kidogo!!!Hakuna sehemu Yesu anajiita Mungu, bali Mwana wa Mungu. Hata shetani analijua hilo.
Ndiyo maana katika Mathayo 4 : 3, Mathayo 4 : 6 hata Luka 4 : 3, shetani alikuwa akimdhihaki/akimjaribu Yesu kwa kuanza kusema, "ikiwa wewe ni Mwana wa Mungu ..."
Lakini inashangaza kuona wengi wanasisitiza kwa Yesu ni Mungu, tena Mweza Yote. Wakati kuna mengine tu hawezi wala kujua.
Mkuu unaikosoa biblia inayosema Yesu ni Mungu?
Hii mpya kidogo!!!
Kijana. Fikra za Mungu ni tofauti na zetu. Soma Isaya 55:8. Sasa unapouloza ivo unahtaji sisi wenye uwezo finyu kueleza mawazo ya BABA!.Kwahyo baba yake, Mungu baba alikua hamuamini mwanae Yesu
Yesu mwanadamu Kwa kuvaa mwili ndiye aliyejaribiwa.Shetani mwenyewe anavomjaribu hakumuita yesu mungu,alimuita mwana wa mungu kama tulivo wana wa mungu mimi na wewe,ndio maana yesu,wewe na mimi wote tunamuita mungu BABA YETU.
halafu Kwani yesu kuzimu alipelekwa na shetani kwenda kufanya nini kama sio kujaribiwa?
Alipoambiwa na shetani kuwa kama akimsujudia atapewa miliki zote za dunia kwanini hakujibu kuwa imeandikwa usimjaribu bwana mungu,ila ikajibu Mali zote ni za mungu?
Jibu ni hakujibu hivyo kwa sababu pale alikua anajaribiwa yeye binafsi na sio mungu!
Na hata alipoambiwa ageuze jiwe liwe mkate (kwa sababu alikua na njaa),hakujibu kuwa usimjaribu bwana mungu wako,ila alijibu kuwa watu(na yeye akiwemo,kwa sababu yeye ndio aliyekuwa akijaribiwa) hawaishi kwa mkate bali kwa neno.
Hapo unaona yesu aliyakubali hayo majaribu yote mawili ila kwa sababu yeye ana akili timamu na imani juu ya mungu wake,aliyashinda!
Ila alipokambiwa KAMA ANAMUAMINI MUNGU,NA KAMA ILIVYOANDIKWA BASI AJIRUSHE ili Mungu atume malaika wamdake,
Hapo shetani alituma(alim-trick) yesu ili yesu amjaribu/AUPIME uaminifu wa ahadi za mungu juu yake,kwamba kweli atamtumia malaika wamdake kama ilivyoandikwa?
kwa kuwa yesu anaakili timamu hapa ndipo alipomjibu shetani kuwa mungu hajaribiwi!
Sijui unaelewa ndugu!!!!!!!!!!
Mawazo yako ni mazuri kwa upande wako boss. Lakini katika uhalisia ... Kama mkoa wa kujifunza mambo yote yataeleweka tuu kamandaKilichonishangazi ni Yesu kubebwa mzima mzima na shetani na kumuonyesha ufalme wake wa dunia. Mungu aendeshwe na shetani?
Mtumishi. Pongezi kwa maelezo. Ila isije ikachanganywa Yesu na Baba ni tofauti. Yesu ana baba yake . Na huko NDIO aliyekaa katika kiti Cha enzi. Pitia vizuri Ufunuo 4 na 5.Yesu mwanadamu Kwa kuvaa mwili ndiye aliyejaribiwa.
Mwili una njaa ndio maana akajaribiwa ageuze jiwe kuwa mkate,
Mwili una tamaa ya macho ndio maana alijaribiwa kupata fahari na utajiri wa duniani,
Mwili una kiburi Cha Uzima, ndio maana alijaribiwa ajitupe chini.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen