Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Mmoja wa waanzilishi wa google ni mrusi.

Wale wanaojiita Jews family. Hao ni warusi. Fuatilia matajiri wengi marekani wana element za jews.
Siyo elements za Jews, Bali Marekani na Jews ni kama National na Panasonic.

South Africa uchumi mkubwa unamilikiwa na Jews, City of Cape Town kuna beach front panaitwa Victor & Alfred waterfront, hawa ni Wayahudi Wawili ndio wamiliki wa hiyo V&A waterfront.
 

Hivi niambie. Tukiwa tunaongelea wayahudi hapa tunaongelea waisrael?

Mimi naongelea wayahudi wenyewe. Asilimia kubwa viongozi wakuu wa israel asili yao ni Russia Empire.

Nimekupatia mfano mmoja wa waanzilishi wa google ni mrusi.

Dunia hii ipo very complicated.
 
Uko sahihi hapo kwenye great purge ya 1936 hadi 1937.Hii kadhia iliondoka na roho nyingi zisizo na hatia.
 
Thank you God,na iwe hivyo.Bado Putin. Binafsi nilikuwa ninasali huyu shetwani afe.
Maombi Yako kuhusu kufa kwa Putin yatapata shida sana ,kwani typo wengi tunaomuombea maisha marefu na afya njema kwa kazi nzuri anayoifanyia Dunia.

Hta hivyo maombi Yako yamekaa kibaguzi tuuu.
Mbona hukuomba wafe akina George Bush baba na mtoto,hukuomba wafe Obama na Clinton waliosanabisha vifo vingi zaidi duniani kuliko hata Putin?
Mungu anapima ujue,
 
Sasa wanamuigizia nani na ili iweje? Ingekua inabadilisha chochote hapo sawa, lakini hakuna wanachobadilisha, zaidi ya ku trend tu mitandaoni.
 
Your browser is not able to display this video.


❗️Flashback to Putin's words on the 24th of June during the Wagner rebellion. (SUBTITLES)⚡️⚡️⚡️
 
Taifa liloongozwa shaghalabagala kama urusi watu mnapata wapi ujasir wa kulitetea!
 
Warusi wamemuua au drone za Ukraine zimemtundua?
Yote kwa yote ni hasara kubwa kwa warusi.

Sidhani kama ni hasara mana yeye sio alfa na omega wa hilo kundi,kitakacho fanyika ni kubadili kiongozi wa kundi mwenye maslahi na urusi
 
Wewe unamjua NIKOLA ZIGIC??

kama humjui unaishi dunia gani? Usidhani unachofatilia wewe kila mtu anakijua. We jali ulichoulizwa
NICOLA ZIGIC ni mwanasoka wa zamani wa Serbia, zamani ikiwa ni Yugoslavia. Huyu mchezaji alikuwa na uwezo wa kucheza mpira kama mshambuliaji wa kati. Jitahidi ujue na ufahamu watu wa dunia hii. Na wewe nikikuuliza Juma Nkhangaa au Sebastian Kinyondo walikuwa ni kina nani nchi hii utanijibu kweli au utabaki kung'aa macho tu?
 
Kilichompeleka kuvuruga maslahi ya Ufaransa huko NIGER ni kipi? Beberu hashikwi ndevu. Ndio maana Putin humtoi Kremlin make anajua yuko kwenye Target. Wenzake wako mkutanoni BRICS huko S. Afrika yeye kajichimbia ikulu.
Nashangaa watu wanaomsifia Putin ni mwamba kumbe jamaa muoga sana anashinda ndani tu.angeenda south Africa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…