Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Apumzike wapi kwa amani?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Case Closed.

Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.

Ilitegemewa haswa, bora angekufa kishujaa kipindi kile
 
Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege

Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege

Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!

Source: Al jazeera

====

Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry

Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Umeandika as if wote tunamjua huyo mtu. Picha ikowapi
 
Case Closed.

Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.

Huyu jamaa alikosea hesabu zake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin amefariki katika ajali ya ndege nchini Urusi, pamoja na watu wengine tisa waliokuwemo ndani pia wamefariki.

************************************************

Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin alikuwa kwenye orodha ya abiria wa kwenye ndege iliyoanguka nchini Urusi na kuwaua watu wote 10 waliokuwa ndani.

Inaaminika kuwa alikuwa ndani ya ndege hiyo.

Hapo awali, chaneli ya Telegram yenye mahusiano na Wagner, Gray Zone iliripoti kwamba ndege hiyo ilidunguliwa na walinzi wa anga katika mkoa wa Tver, kaskazini mwa Moscow.

Prigozhin aliongoza uasi wa mapinduzi yaliyoshindwa dhidi ya vikosi vya jeshi la Urusi mnamo Juni.

BBC.
Mtakuja kushangaa amefufukia Kyiv.
 
Never try Putin
images - 2023-08-23T204201.814.jpeg
 
Bado Zelensky. Na yeye analiwa tu timing. Putin siyo mtu poa hata kidogo.
Bado General Sergey Surovikin wa Aerospace Forces ambaye ameondolewa cheo baada ya kufichwa tangu sekeseke la Wagner.
Taratibu za vifo vya vigogo wa Urusi huwa ni zilezile, sumu kwenye chai, kudondoka kutoka ghorofani, ajali hasa za magari, kujiua kwa aina mbalimbali.

Tiyari General Gennady Zhidko aliyeongoza operation nzima mwanzoni akaja kuondolewa kwa performance mbovu amefariki wiki iliyopita kwa "ugonjwa wa muda mrefu"
1512px-AV0B6155_21x30-e1692271531821.jpg

Huyu ndiye aliyeondolewa kuongoza majeshi ya Urusi nchini Ukraine na akaletwa Surovikin, na Surovikin akaondolewa vilevile.
Wiki hiyohiyo ya jana General Gennady Lopyrev alifia jela alikokuwa amefungwa kwa miaka kadhaa kwa kesi gani sijui. Huyo alikuwa kikosi cha kumlinda Putin.

Majenerali wa Ukraine hawa hapa kina Budanov hawaumwi hata mafua na kichapo wanaendeleza
20230630_220225.jpg
 
Back
Top Bottom