bukerebe alex
Member
- May 5, 2016
- 62
- 83
Asa wahanga wa DPW tumuombee ili iweje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apumzike wapi kwa amani?Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Ilitegemewa haswa, bora angekufa kishujaa kipindi kileCase Closed.
Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.
Baada ya tukio la Jumamosi, Putin, Lukashenko na Prigozhin wameuthibitishia ulimwengu kwamba wao ni "gangsters" halisi na Russia si nchi ya kuichezea
Kwa hayo yaliyotokea Jumamosi yameithibitishia dunia kwamba Russia ni nchi kubwa, na hatari sana duniani kwa kila kitu. Pia Putin, Lukashenko na Prigozhin ni watu hatari sana na ni wale twasema "real gangsters". Prigozhin amewahi kufungwa jela kama miaka 10 hivi na akatolewa kwa msamaha wa...www.jamiiforums.com
Umeandika as if wote tunamjua huyo mtu. Picha ikowapiPrigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Surovikin bado yuko rumande na ameondolewa rasmi kuwa mkuu wa jeshi la anga.Never try Putin
Mkuu pale pana pisi flan hujipanga barabarani pale!Ngoja nienda hapa picnic bar , Kaloleni kunywa Heineken baridiii. Maanina zake , Yuko kuzimu kuandaa jeshi lingine.
Huyu jamaa alikosea hesabu zake.Case Closed.
Nimesema humu JF kuwa mazee (Putin, Lukashenko & Co) si watu wa kuwachezea weye fanya mambo yako, wao hukulia "timing" tu ikifika muda muafaka hutekeleza.
Baada ya tukio la Jumamosi, Putin, Lukashenko na Prigozhin wameuthibitishia ulimwengu kwamba wao ni "gangsters" halisi na Russia si nchi ya kuichezea
Kwa hayo yaliyotokea Jumamosi yameithibitishia dunia kwamba Russia ni nchi kubwa, na hatari sana duniani kwa kila kitu. Pia Putin, Lukashenko na Prigozhin ni watu hatari sana na ni wale twasema "real gangsters". Prigozhin amewahi kufungwa jela kama miaka 10 hivi na akatolewa kwa msamaha wa...www.jamiiforums.com
Tunakokwenda ni kubaya sana.Hatari sana hii dunia
Mtakuja kushangaa amefufukia Kyiv.Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin amefariki katika ajali ya ndege nchini Urusi, pamoja na watu wengine tisa waliokuwemo ndani pia wamefariki.
************************************************
Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin alikuwa kwenye orodha ya abiria wa kwenye ndege iliyoanguka nchini Urusi na kuwaua watu wote 10 waliokuwa ndani.
Inaaminika kuwa alikuwa ndani ya ndege hiyo.
Hapo awali, chaneli ya Telegram yenye mahusiano na Wagner, Gray Zone iliripoti kwamba ndege hiyo ilidunguliwa na walinzi wa anga katika mkoa wa Tver, kaskazini mwa Moscow.
Prigozhin aliongoza uasi wa mapinduzi yaliyoshindwa dhidi ya vikosi vya jeshi la Urusi mnamo Juni.
BBC.
Never try Putin
Bado General Sergey Surovikin wa Aerospace Forces ambaye ameondolewa cheo baada ya kufichwa tangu sekeseke la Wagner.Bado Zelensky. Na yeye analiwa tu timing. Putin siyo mtu poa hata kidogo.