Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ouuuuups. Basi niendelee kusali.I have said the same. Watashangaa anakunywa chai Kyiv huku moto unawaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ouuuuups. Basi niendelee kusali.I have said the same. Watashangaa anakunywa chai Kyiv huku moto unawaka.
Safi sana ,Putin kafanya yake,West waliripoti kwamba Putin lazima alipize Lisasi na hawezi kumuacha na yametimia.Prigozhin ahofiwa kufariki katika Ajali ya Ndege
Watu 10 wameripotiwa kufariki kwenye ajali hiyo ya ndege
Watanzania tumuombee apumzike kwa amani!
Source: Al jazeera
====
View attachment 2726581
Yevgeny Prigozhin was passenger on crashed plane, Russian officials say
Ten died when aircraft came down on flight from Moscow to St Petersburg, according to emergency ministry
Wagner boss Yevgeny Prigozhin was on the passenger list of a plane which crashed in Russia, killing all 10 on board. He was believed to be on board the plane. Earlier, a Wagner-linked Telegram channel Grey Zone reported that the jet was shot down by air defences in Tver region, north of Moscow.
Laiti kama Putin angeenda South Africa na kuondoka bila kukamatwa, basi serikalini ya SA ingekuwa katika mzozo mkali sana na ICC. Alifanya vile kutoiingiza Sauzi katika matatizo.Kilichompeleka kuvuruga maslahi ya Ufaransa huko NIGER ni kipi? Beberu hashikwi ndevu. Ndio maana Putin humtoi Kremlin make anajua yuko kwenye Target. Wenzake wako mkutanoni BRICS huko S. Afrika yeye kajichimbia ikulu.
Umeandika as if wote tunamjua huyo mtu. Picha ikowapi
Afu yametokea yote ndani ya siku 1Surovikin bado yuko rumande na ameondolewa rasmi kuwa mkuu wa jeshi la anga.
Wamepata picha halisi ya kile kitendo walokifanya kujaribu kwenda Moscow.
Tusiseme ni Putin bali ni FSB ndo wamekuwa wakishinikiza jamaa washughulikwe kwa uhaini.
Putin ndio ataanza kabla ya ZeleBado Zelensky. Na yeye analiwa tu timing. Putin siyo mtu poa hata kidogo.
Dunia nzima inamlaumu angalau angepigana ashindwe kuliko kuacha kabisa wakati kasababisha vifo
Hiyo hapo ndio picha ya Braza Prigozhin boss la WagnerWewe unamjua NIKOLA ZIGIC??
kama humjui unaishi dunia gani? Usidhani unachofatilia wewe kila mtu anakijua. We jali ulichoulizwa
Yeah ni ADs za Urusi zimempiga video ya dakika 1:30 ipo XIsije ikawa Urusi wamefanya jambo
Mwanzoni walisema yupo Belarus, ghafla akaonekana yupo Ikulu ya Russia anasalimiana na kiongozi wa Africa.Itakavyokuwa,nami nawaza kama wewe manake Kwa maigizo tu hawajambo.
Hotuba yake ya jana akiwa jangwa la Sahara,akisema nyuzi joto 50,eti yupo kueneza russia Africa yote.Nusu nitapike.Na lile tumbo lake anatoa hotuba eti anataka kuifanya Urusi iwe nchi yenye nguvu zaidi na kuifanya Afrika iwe huru. Akaposti na picha yuko Afrika, sasa kaliwa kichwa. Putin sio fala kutotoka nje ya Russia kizembe make anajua yuko kwenye Target.
Unaweza ukaweka link?Yeah ni ADs za Urusi zimempiga video ya dakika 1:30 ipo X
Haiingii akilini hata siku moja kwamba Ukraine wawe supporters wa Wagner.Mkuu kuna msemo usemao "ndege mjanja....."
Hatuwezi fahamu kuwa Ukriane ndo walokuwa "handlers" wa Prigozhin.
Budanov kawaambia Crimea italionaBado General Sergey Surovikin wa Aerospace Forces ambaye ameondolewa cheo baada ya kufichwa tangu sekeseke la Wagner.
Taratibu za vifo vya vigogo wa Urusi huwa ni zilezile, sumu kwenye chai, kudondoka kutoka ghorofani, ajali hasa za magari, kujiua kwa aina mbalimbali.
Tiyari General Gennady Zhidko aliyeongoza operation nzima mwanzoni akaja kuondolewa kwa performance mbovu amefariki wiki iliyopita kwa "ugonjwa wa muda mrefu"View attachment 2726575
Huyu ndiye aliyeondolewa kuongoza majeshi ya Urusi nchini Ukraine na akaletwa Surovikin, na Surovikin akaondolewa vilevile.
Wiki hiyohiyo ya jana General Gennady Lopyrev alifia jela alikokuwa amefungwa kwa miaka kadhaa kwa kesi gani sijui. Huyo alikuwa kikosi cha kumlinda Putin.
Majenerali wa Ukraine hawa hapa kina Budanov hawaumwi hata mafua na kichapo wanaendelezaView attachment 2726580
Kuna moshi kwa chini wakati ndege inashuka, wanadai ni ADs ya Urusi imewapigaKwa Video za ndege hii ikianguka, na ukubwa wa moto , likely Bomu lilikua limeshategeshwa au imedunguliwa .