Sasa umeandika nini? au ninyi ndio mnaoamini kwamba nabii wenu (putin) ni an immortal.Eti putin naye atakufa hujitambui.
What if ni Ukraine kafanya assassination!Isome kwanza historia ya Urusi ndio ukomenti, yaani kabisa Urusi ipate matatizo Kwa sababu ya huyo mkuu wa Wagner? Kama ni kuwaza, jaribu kuwazua Zaidi.
Hapo Russia imepeleka ujumbe Kwa wote wanaofikiri Moscow ni pepesi kiasi hicho na hapo katika lugha ya picha wanasema kuwa ukicheza na Moscow umecheza na moto.
Kifupi nimefurahi sana, Kila siku yanatolewa maonyo na Urusi juu ya wanaotaka kujaribu kufanya jaribio lolote ndani ya Urusi lakini hawaeleweki, naamini Kuna siku dunia itaandika historia ya kilio kikubwa sana.
Endeleeni kufurahia tu, oooh! Superpower wa mchongo anapigwa na Ukraine ,mara oooh! Drone za Ukraine zimepiga ndani ya Urusi, mara oooh! Kuna siku hiyo oooh! Itasikika uwiiiiii
Kila siku sisi tuliojalowa jicho la hekima tunaona Ukraine anajiingiza kwenye hatari tena kubwa sana na ningepata nafasi Leo ya kumshauri Zelensky Rais wa Ukraine ningemwambia hivi ACHA KUCHEZA NA MOSCOW NA HIZO DRONES ZAKO KUNA SIKU UTALIA KILIO KIKAVU.
Ninataka Putin,huyu Prigozhin kaua sana maishani mwake watu wasio na hatia.
Naomba unionyeshe ambapo niliandika Urusi ilishindwa na Finland, Georgia na Chechnya.Pia umezungumzia kuhusu Urusi kushindwa na Finland, chechen na Georgia. Sijui wewe vita huitazama vipi, but kwangu mimi vita ni matokeo ya nani anapata nini baada ya vita kutokana na malengo. Mfano, lengo la US ilikuwa ni kuilinda dola dhidi ya tishio la Gadafi, so licha ya kumuua gadafi, ameiangamiza kabisa libya kiuchumi-haitokuja tena kuwa tishio kwake. So, amefanikiwa.
Finland alisurrender mara zote mbili na kukubali kuachia ardhi yake kwa Soviet, achilia mbali maamuzi ya fedheha ya kukubali kuwashitaki na kuwafunga wanajeshi wake wenyewe waliopigana dhidi ya uvamizi wa soviet. Sawa na leo ukraine iwashitaki majenerali wake eti kwa kosa la kuzuia uvamizi wa Urusi.
Georgia kusini hadi leo iko chini ya Urusi.
Israel ina tishio kubwa zaidi la kuvamiwa siku yoyote na haina autocracy. Kuwa na historia ya kuvamiwa sio kisingizio cha kuendekeza subordinates wabovu na kukataa meritocracy.Nimesoma majibu yako na mifano uliyoitoa sikumbuki kuwafahamu so siwezi sema chochote.
ila tukiielewa historia ya Russia, ndio utaelewa kwanini iko hivi ilivyo leo.
Russia kwa muda mrefu Imekuwa ni military state, Kwa sababu ya utawala wa kifalme na Mavamizi/matishio ya kutokea nje-napoleon, hitler, NATO. So taifa la dizaini hiyo, unaweza elewa mtazamo wa watawala dhidi ya wapinzani. Hatari ya historia ya mavamizi, huzaa ufisadi na ubwenye. At least baada ya Putin kuingia for 20 yrs amedhibiti power struggle iliyokuwepo kwa miaka mingi. Kwa ufupi Russia bado ni taifa linalojitafuta kuelekea kuwa taifa la 'kisasa' zaidi.
Comperatively, Marekani ina bahati kubwa ya kijiografia. BAHARI. Kuzungukwa na bahari, imeifanya kuwa na jeshi imara la majini, hivyo kuwa ngumu kuvamiwa na rahisi kujilinda.
Hehehe, lunch kuzimuni ?Mida hii PRIGO ndio anatua MOSCOW kupata Lunch pamoja na PUTIN
Nafikiri hapa atapata mwanga kidogo!Ili kuijua vizuri FSB na SVR isome vizuri KGB
Wakati Putin alikuwa anamlia rada Zennesky kummaliza na yeye alikuwa analiwa rada kumalizwa.Muindaji huindwa pia.Putin amekoswakoswa zaidi ya mara 3 kuuwawa🥱Bado Zelensky. Na yeye analiwa tu timing. Putin siyo mtu poa hata kidogo.
Vijana wanaongea kwa ushabiki,nchi yyte wamkamate waone ICMB inavyofanya kazi.zaidi ya hapo nchi itakataa Putin kutembelea nchi husika ili kukwepa kadhia hiyoWanawaza karibu sana hao wanaosema Putin angekamatwa akiwa SA, kitendo cha kumkamata Putin ndani ya nchi yoyote ni kumtangaza vita na Moscow na Urusi itamtoa kafara Putin lakini hiyo nchi itajiandaa kuua mamilioni kama sio mabilioni ya watu
Barikiwa mkuu.Uko sahihi, ila kiutawala inakuwa imejipunguzia majukumu, na hayo majukumu kuhamishiwa kwa kampuni binafsi (wabobezi wa vita) ambao wanalipwa na utawala.
Kwa namna nyingine, utawala wao unakuwa umewapa maazimio hicho kikundi, nini wanataka yawe matokeo.
Ni sawa na wewe uingie mkataba na hicho kikundi, ukitaka kikalinde labda Niger; kwa hiyo wewe majukumu yako yatategemea na maazimio ya mkataba, je ni kuwapa silaa na fedha, usafiri, chakula n.k
Tunahitimisha; kwa sababu wameajiriwa na Urusi kwenye hayo mapigano na wanalinda maslai ya Urusi, kwa hiyo anayepigana pale ni mrusi.
Kwani hiyo ndege imeua watu walioko Belarus au imeua hao waasi tu?Swali ninalojiuliza....Je,Marekani ilijua kama tukio hili lingetokea!!!!! Maana wiki iliyopita ilihimiza raia wake waondoke Belarus haraka Sana then wiki hii limetokea hili.[emoji848]
Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Ni putin tu wataalam wa siasa za kiulimwengu wana sema Putin ni mtu wa kisasi ukimzingua akusamei
....kwa mtu yoyote yule anayeelewa mambo ataona kabisa hii kitu haiingii akilini......
Macommander wote wa juu wa Wagner kwenye Ndege moja.
Uwezo huo wa kuuwa Mabilion ya watu huku Dunia itakuwa imelala tu wanasubiri Russia awamalize? Acheni basi kutupea matango pori.Yes, inaweza kuingia kwa vita lakini kusema atauwa Mabilion ya watu hapo umeongeza chumviWanawaza karibu sana hao wanaosema Putin angekamatwa akiwa SA, kitendo cha kumkamata Putin ndani ya nchi yoyote ni kumtangaza vita na Moscow na Urusi itamtoa kafara Putin lakini hiyo nchi itajiandaa kuua mamilioni kama sio mabilioni ya watu
Hawa jamaa huwa ni waongo na wataalam wa kupika stori. Kila wanachotunga kwenye SMO kinafeli.Nafikiri hapa atapata mwanga kidogo!
FSB likely targeted Prigozhin's plane - UK defence sources
UK defence sources say that Russia’s FSB domestic intelligence agency (the successors to the KGB) are those most likely to have targeted Yevgeny Prigozhin’s plane.
They are totally loyal to Vladimir Putin and also run the border force.
Source: BBC:24/08/2023