Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Yevgeny Prigozhin, Boss wa Wagner Group ahofiwa kufariki kwenye ajali ya ndege!

Karibu sana bwana mdogo nikupe shule ya haya masuala mazito waonekana hufahamu kitu.

Kama hufahamu kitu uliza na utaelimishwa.
Never ever on Earth FSB(formerly known as KGB) na CIA wakafanya exchange taarifa za intellegensia
 
Never ever on Earth FSB(formerly known as KGB) na CIA wakafanya exchange taarifa za intellegensia
Sasa ngoja nikuelimishe.

Balozi za Marekani Moscow na Russia Washington wana madawati ya majasusi wa nchi hizo na nchi hizo hutambulishana majasusi hao. Wote CIA na SVR ya Russia wanafahamiana na hufanya kazi twasema kwa kiingereza "maticulously" yaani deep cover.

Lengo kuu ya yote haya ni kitu kingine twaita kwa kiingereza "to engage with opposite side" na hufanya kazi pamoja kukabili matatizo yanozikabili nchi hizi mbili.

Nimewahi kusema humu kwamba nchi hizi mbili pamoja na China wana line ya simu huitwa "Red Line" na hii hutumiwa pale ambapo kuna shida na ni lazima nchi hizi zizungumze. China walifunga line hii ya simu na ndo Biden akawa ahangaika na akamtuma Blinken aende Beijing kurekebisha mambo.

Nchi hizi pia zimeweka sheria kwamba kila jasusi aingiae ndani ya nchi hizo ni lazima ajitambulishe na ajulikane kazi zake zitakuwa ni ubalozini. Kumbuka balozi za nchi hizi huchukua eneo lenye ekari kubwa hivyo kuna kila kitu humo ndani kuanzia mitambo ya mawasiliano hadi vifaa maalum vya kazi. Hiyo wao husema ni kila nchi kulinda maslahi yake ndani ya nchi mwenyeji.

Huo ni utaratibu ambao nchi hizo kubwa duniani wamewekeana na endapo majasusi hao watafanya mambo ambayo ni kinyume na makubaliano yao basi majasusi hao hutimuliwa na hutakiwa kuondoka mara moja.

Mapema mwaka jana Marekani iliwatimua majasusi wa Russia wapatao 12 na Russia nayo ikawatimua majasusi wa Marekani wapatao 10.

Hata hivyo Russia mara nyingi huwa ikiwakamata majasusi wa Marekani ambao hawako kwenye orodha ilowasilishwa Moscow huwafungulia mashtaka ya ujasusi kama mwandishi wa habari Evan Gershkovich na mwanajeshi wa majini Paul Whelan ambao wamekamatwa kwa kufanya ujasusi ndani ya Russia.

Huo ni utangulizi nimekupa kama wataka madini zaidi eleza.
 
Nafikiri hapa atapata mwanga kidogo!

FSB likely targeted Prigozhin's plane - UK defence sources

UK defence sources say that Russia’s FSB domestic intelligence agency (the successors to the KGB) are those most likely to have targeted Yevgeny Prigozhin’s plane.

They are totally loyal to Vladimir Putin and also run the border force.

Source: BBC:24/08/2023

Uwezo huo wa kuuwa Mabilion ya watu huku Dunia itakuwa imelala tu wanasubiri Russia awamalize? Acheni basi kutupea matango pori.Yes, inaweza kuingia kwa vita lakini kusema atauwa Mabilion ya watu hapo umeongeza chumvi
Kama sio ushabiki sema, tuongee Kwa fact, kama Russia akasema anaingia vitani na Afrika na ukumbuke Afrika ina watu Zaid billion 1 ,je Afrika itaweza kujibu ?
 
Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin amefariki katika ajali ya ndege nchini Urusi, pamoja na watu wengine tisa waliokuwemo ndani pia wamefariki.

************************************************

Bosi wa Wagner Yevgeny Prigozhin alikuwa kwenye orodha ya abiria wa kwenye ndege iliyoanguka nchini Urusi na kuwaua watu wote 10 waliokuwa ndani.

Inaaminika kuwa alikuwa ndani ya ndege hiyo.

Hapo awali, chaneli ya Telegram yenye mahusiano na Wagner, Gray Zone iliripoti kwamba ndege hiyo ilidunguliwa na walinzi wa anga katika mkoa wa Tver, kaskazini mwa Moscow.

Prigozhin aliongoza uasi wa mapinduzi yaliyoshindwa dhidi ya vikosi vya jeshi la Urusi mnamo Juni.

View attachment 2726574
BBC.
Hizi. ni trick za Warusi, hivi inaingia akilini kwaba jeshi lakulinda anga la Urusi linaweza kutungua excutive jet yao wenyewe???Kuna mchezo unafanyika hapo si bure si sjabu hata Prighozin yungali hai, silu zijazo utamsikia yupo Afrika ya kati na Congo. Ndege za Urusi zinajitambilisha kwa marafiki na maadui kupitia code zao za siri hivyo silaha za Urusi hazitungui ndege zilizo wekewa kifaa cha kujitambulisha kwa silaha za kutungulia ndege za maadui.
 
Hizi. ni trick za Warusi, hivi inaingia akilini kwaba jeshi lakulinda anga la Urusi linaweza kutungua excutive jet yao wenyewe???Kuna mchezo unafanyika hapo si bure si sjabu hata Prighozin yungali hai, silu zijazo utamsikia yupo Afrika ya kati na Congo. Ndege za Urusi zinajitambilisha kwa marafiki na maadui kupitia code zao za siri hivyo silaha za Urusi hazitungui ndege zilizo wekewa kifaa cha kujitambulisha kwa silaha za kutungulia ndege za maadui.
Mkuu, Prigozhin alikuwa ana ndege binafsi na hiyo ndege imetengenezwa Brazil.
 
Putin siyo wa mchezo mchezo, aidha uwe mtumishi, mfuasi na mwaminifu kwake au UFE...
VERY SIMPLE CHOICES...
🤟👊✊💪🤙
 
Sasa ngoja nikuelimishe.

Balozi za Marekani Moscow na Russia Washington wana madawati ya majasusi wa nchi hizo na nchi hizo hutambulishana majasusi hao. Wote CIA na SVR ya Russia wanafahamiana na hufanya kazi twasema kwa kiingereza "maticulously" yaani deep cover.

Lengo kuu ya yote haya ni kitu kingine twaita kwa kiingereza "to engage with opposite side" na hufanya kazi pamoja kukabili matatizo yanozikabili nchi hizi mbili.

Nimewahi kusema humu kwamba nchi hizi mbili pamoja na China wana line ya simu huitwa "Red Line" na hii hutumiwa pale ambapo kuna shida na ni lazima nchi hizi zizungumze. China walifunga line hii ya simu na ndo Biden akawa ahangaika na akamtuma Blinken aende Beijing kurekebisha mambo.

Nchi hizi pia zimeweka sheria kwamba kila jasusi aingiae ndani ya nchi hizo ni lazima ajitambulishe na ajulikane kazi zake zitakuwa ni ubalozini. Kumbuka balozi za nchi hizi huchukua eneo lenye ekari kubwa hivyo kuna kila kitu humo ndani kuanzia mitambo ya mawasiliano hadi vifaa maalum vya kazi. Hiyo wao husema ni kila nchi kulinda maslahi yake ndani ya nchi mwenyeji.

Huo ni utaratibu ambao nchi hizo kubwa duniani wamewekeana na endapo majasusi hao watafanya mambo ambayo ni kinyume na makubaliano yao basi majasusi hao hutimuliwa na hutakiwa kuondoka mara moja.

Mapema mwaka jana Marekani iliwatimua majasusi wa Russia wapatao 12 na Russia nayo ikawatimua majasusi wa Marekani wapatao 10.

Hata hivyo Russia mara nyingi huwa ikiwakamata majasusi wa Marekani ambao hawako kwenye orodha ilowasilishwa Moscow huwafungulia mashtaka ya ujasusi kama mwandishi wa habari Evan Gershkovich na mwanajeshi wa majini Paul Whelan ambao wamekamatwa kwa kufanya ujasusi ndani ya Russia.

Huo ni utangulizi nimekupa kama wataka madini zaidi eleza.
Endelea braza
 
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka west Africa wanareport ya kwamba Kuna watu wanadaiwa kumuona Prigozhin nchini Mali jana.

Pia kuna habari kwamba Yevgeny Prigozhin, na makamanda wake wakuu walikuwa kwenye ndege ya pili na wanatarajiwa kufika Niger August 25 na wapiganaji 250 wa Wagner.

Kulingana na taarifa zao ,hii ndiyo sababu hakuna hata neno moja katika vyombo vya habari vya Kirusi kuhusu ndege ya pili na abiria wake.

Ikumbukwe Bado hadi sasa hakuna official report yeyote iliyotoka kuthibitisha kifo chake ingawa Kuna viashiria vya uwepo wake kwenye ndege iliyopata ajali.

=====

Prigozhin's second plane flew to AzerbaijanThe flight to Baku was planned a few days ago, even before the plane crash in the Tver region.It is not known who exactly is on the plane.
1692942487605.png
 
Nenda BBC. Mbona Putin ameshukuru kwa kazi ya wagner huko ukraine, pia amewapa pole wafiwa. Na amesema kuwa mkuu wa wagner ALIFANYA KOSA KUBWA. na amesema matokeo ya uchunguzi wa ajari hiyo yatakuja ingawa itachukua muda mrefu.
 
Nenda BBC. Mbona Putin ameshukuru kwa kazi ya wagner huko ukraine, pia amewapa pole wafiwa. Na amesema kuwa mkuu wa wagner ALIFANYA KOSA KUBWA. na amesema matokeo ya uchunguzi wa ajari hiyo yatakuja ingawa itachukua muda mrefu.
Bado haimaanishi chochote mkuu ikizingatiwa hakuna report ya kiuchunguzi iliyotoka pia kwenye hio video Putin amtumia kauli " if they were there, According to initial information... Wagner employees were on board " ni ishara kwamba Bado haijathibitishwa ,yes it's rumors but they turn out to be true sometimes.

Kingine prigozhin ni Mtu mwenye tahadhari sana na alijulikana kwa kujiandikisha kwa ndege moja na kupanda nyingine .

Tungoje report ya uchunguzi itoke.
 
Back
Top Bottom