Acha kabisa Mtani na musiombee tuwafunge hiyo tarehe nane mana tutafanya mbwembwe mbaya yaani mpira utachezewa kwa kila aina. πππSawa mtani. Naona siku hizi mkipata goli moja mnacheza kwa mbwembwe sana.
Tunawasubiri
haya bana nawatakia ushindi mwemaYaani zile salamu za tarehe 08 ndio tunazituma leo kwa Mbao.
Wape salaam in Nugaz voice. ππ
Mtani Don Clericuzio njoo upokee salamu huku.
π kwa hiyo mkitufunga hiyo tar. 8 ndo ubingwa mtakuwa mmechukua?Acha kabisa Mtani na musiombee tuwafunge hiyo tarehe nane mana tutafanya mbwembwe mbaya yaani mpira utachezewa kwa kila aina. πππ
Kama nawaona mtakavyoacha viti wazi ghafla. π
Swali zuri sanaπ kwa hiyo mkitufunga hiyo tar. 8 ndo ubingwa mtakuwa mmechukua?
π kwa hiyo mkitufunga hiyo tar. 8 ndo ubingwa mtakuwa mmechukua?
Hapana. Bali machungu yetu ya kukosa ubingwa ndio tutayapunguzia hapo.π kwa hiyo mkitufunga hiyo tar. 8 ndo ubingwa mtakuwa mmechukua?
Ahsante Mkuu. πhaya bana nawatakia ushindi mwema
Nani atalia?Wanajipa faraja mwaka huu watalia sana[emoji16]
na kweli ni heri iwe hivyo, ni kama mlivyoshangilia kupata droo na simba round ya kwanza.Hapana. Bali machungu yetu ya kukosa ubingwa ndio tutayapunguzia hapo.
Hebu tuwache hukoo. πππWalivyojipanga kama bendi za taarabu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nnachokikubali kwa hawa Wananchi ni hii kaulimbiu yao tu basiπ€ͺπ€ͺπ€ͺHebu tuwache hukoo. πππ
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.
Hahahaaa!! Hamna kitu ka hiyo.na kweli ni heri iwe hivyo, ni kama mlivyoshangilia kupata droo na simba round ya kwanza.
kama endapo mkikubali jΒ² simba iwafunge magoli zaidi ya matatu, aisee tutawatania mpk 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
yani hicho kipigo mtakachokutana nacho jΒ² mtasimulia hadi vizazi vyenu vya baadaeHahahaaa!! Hamna kitu ka hiyo.
Nyie ndio mujiandae sababu hamtakunywa maji safari hii.
Uwiiii!! Sidhani aiseee Mtani.yani hicho kipigo mtakachokutana nacho jΒ² mtasimulia hadi vizazi vyenu vya baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
una moyo hahahaHahahaaa!! Hamna kitu ka hiyo.
Nyie ndio mujiandae sababu hamtakunywa maji safari hii.
Hahahaaa!! Moyo wa nini Sa? π
πππ