Mkifungwa nyie ndio mnajua kwamba kuna Kalumanzila. Lol. π³Yanga wabishi sana aisee. Papaa Zahera alishawahi kukiri hadharani wakati huo akiwa mkuu wa bench lenu la ufundi kua Lunyasi ni habari nyingine, ni mziki mnene
Aliamua kupaki basi na treni kabisaa ndio ikiwa salama yenu. Sasa nakushangaa Shadeeya leo hii unauliza goli mbili tulizipataje wakati nyie ndio tuwaulize mlitumia miujiza ya Kalumanzira yupi kuzirudisha!!!!? Soka letu hulioni? Kikosi chetu hukioni!!!?
Hahahaaa. Muda ndio huu sasa wa kuwasilisha maoni Mkuu kabla hatujaingia kwenye mabadiliko.Hii timu yetu ni ya Wananchi na wawekezaji ni Wananchi
Hatutaki mambo ya kumilikiwa na mabeberu
RIP Mzee Akilimali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah naona umeamua kunitoa mafichoni!!
Hahahahaa!! Sawwa sawwa Mtani.Hahah naona umeamua kunitoa mafichoni!!
Ngoja kuna mambo niyaweke sawa nirudi,Ila na mark maelezo yako yote niwe na pa kuanzia.
Wewe ndiyo App yangu,sie wenyewe tuna mipango yetu
The only thing to fear is fear itself
Simba sc ina mipango Mingi na wala hatutaki kelele kama zenu[emoji3]Hahahahaa!! Sawwa sawwa Mtani.
Eti mie ndio App lol. Hahahaa. Mipango ipi tena?
Wachaaa!!! Sasa kwa nini munaifanyia uvunguni?Simba sc ina mipango Mingi na wala hatutaki kelele kama zenu[emoji3]
Hahah wewe ndio App yangu kweli taarifa zote nitapata kwako
The only thing to fear is fear itself
Tunaogopa mtatuiga [emoji3][emoji3]Wachaaa!!! Sasa kwa nini munaifanyia uvunguni?
[emoji28][emoji28]
Hahahaaa. Kwani kuna ubaya Mtani?Tunaogopa mtatuiga [emoji3][emoji3]
Maana hamkawii
The only thing to fear is fear itself
Na nyie muwe wabunifu[emoji16]Hahahaaa. Kwani kuna ubaya Mtani?
Wekeni hadharani kama vinaigika tuige. [emoji41]
Angalia tu nyie ndio msije iga anayoyafanya Yanga.Na nyie muwe wabunifu[emoji16]
Vingine mtashindwa kuiga vinahitaji pesa nyingi
The only thing to fear is fear itself
Uwe unakuja uwanjani mamii ujionee soka linavyondandazwa, usibague mechi, njoo utazame mechi zote za Simba utakubali kuwa uwezo wa Lunyasi sio wa kucheza nchi hii.Mkifungwa nyie ndio mnajua kwamba kuna Kalumanzila. Lol. π³
Hivyo mechi zenu zote mlizoshinda achilia zile za miamala mmetumia Kalumanzila kupata matokeo?
Hvi ni kwamba hujui kuwa Msimbazi kuna pesa nyingi!??ama unanitania mtani!!Angalia tu nyie ndio msije iga anayoyafanya Yanga.
Pesa nyingi hiyo huko Msimbazi iko wapi Mtani. Au hizo sijui B 20 za kwenye maandishi. [emoji28][emoji28][emoji28]
Ndio ujue sasa pesa ni nyingi Msimbazi. Kama mambo yanaenda vyema hapa tu bila 20B kuwapo, je itakuwaje zikiingia?Angalia tu nyie ndio msije iga anayoyafanya Yanga. Pesa nyingi hiyo huko Msimbazi iko wapi Mtani. Au hizo sijui B 20 za kwenye maandishi. π π π
Corona ikipita watapaswa watujibu hili mana hatujasahau!Na waishukuru Corona sababu wao ndio walipaswa kutueleza zile goli mbili za mapema walizipataje? [emoji28][emoji28]
Kalumanzila wao ni kumwaga minoti ya kutosha kwa waamuziMkifungwa nyie ndio mnajua kwamba kuna Kalumanzila. Lol. [emoji15]
Hivyo mechi zenu zote mlizoshinda achilia zile za miamala mmetumia Kalumanzila kupata matokeo?
Kwani hiyo ya mambo kwenda vyema inafanywa na nani Mtani , Si huyo huyo mwenye B ishirini zake? πNdio ujue sasa pesa ni nyingi Msimbazi. Kama mambo yanaenda vyema hapa tu bila 20B kuwapo, je itakuwaje zikiingia?
Hakika. π
Hayo ndio yanawaumbua wakikutana na Timu ya Wananchi. Teh teh
Mipango yenu ni ya kwenye makaratasi. Lunyasi wako mbaali sanaπ€£π€£π€£Kwani hiyo ya mambo kwenda vyema inafanywa na nani Mtani , Si huyo huyo mwenye B ishirini zake? π
Vipi, Makonda Stadium Arena, maandalizi yake yamefikia wapi kule Kigamboni?Kwani hiyo ya mambo kwenda vyema inafanywa na nani Mtani , Si huyo huyo mwenye B ishirini zake? π