Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

wanaYeboYebo(Yanga) wote ni matatizo tu: siku Yebo yao ikiwa uwanjani updates huwa hawarushi lkn sikilizia mpira uishe na wawe wamebahatika kushinda kelele hadi chooni: Ndo maana Simba itaendelea kuwa Mbele daima.
 
wanaYeboYebo(Yanga) wote ni matatizo tu: siku Yebo yao ikiwa uwanjani updates huwa hawarushi lkn sikilizia mpira uishe na wawe wamebahatika kushinda kelele hadi chooni: Ndo maana Simba itaendelea kuwa Mbele daima.

ndetichia like this
 
Yanga kwishney, hizo lambalamba hamuziwezi kabisa. Mumepigwa Mapinduzi , mumepigwa friend match na leo munapata kipogo cha tatu ndani ya miezi 2
 
Dah!mmeamua kuwa mabondia leo mkaanza kumtwanga refa kama mna timu ya ngumi pia si muombe mapambano na kina kaseba na cheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…