Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

huyo kalinyos ushamuona akicheza au kelele tuu
uto bna
 
Ila nyie Watani bana sasa ulitaka amtaje nani? Barbara au OOM.

Hao ndio wachezaji wetu ambao tunao.

Haya huyo Kalinyos ana shida gani?
kocha hajataka kumuweka nyie mnalazimisha aanze hakati hajui kitu
 
Sisi wananchi ubingwa wetu mwaka huu, Bora Mbeya city atufunge ili Simba tumfukuzie kwa mbali[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…