Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Dada kapresha kanakuja tena kanapotea🀣🀣🀣 uhuru haupo kabisa
Hahahaaaa. Yote matokeo na inabidi uwe tayari kuyapokea.

Mana kama sasa Mtibwa wameliandama lango letu mbaya.
 
Hahahaaaa. Yote matokeo na inabidi uwe tayari kuyapokea.

Mana kama sasa Mtibwa wameliandama lango letu mbaya.
Leo hii nipo nyumbani kuna kimsiba, so nipo nasikiliza kwenye redio🀣🀣🀣 tupo wengi hatujavaa ata barakora tunapondana tu hapa ila mm najitenga kiaina🀣🀣
 
Leo hii nipo nyumbani kuna kimsiba, so nipo nasikiliza kwenye redio🀣🀣🀣 tupo wengi hatujavaa ata barakora tunapondana tu hapa ila mm najitenga kiaina🀣🀣
Duuh!! Pole Mkuu.

Game sio mbaya ya kufanya kujawa na presha saaana. Nadhani presha uliyo nayo ni vile unasikiliza kwa redio kwani huko huwa chumvi ni nyingi sana kutoka kwa watangazaji.
 
Duuh!! Pole Mkuu.

Game sio mbaya ya kufanya kujawa na presha saaana. Nadhani presha uliyo nayo ni vile unasikiliza kwa redio kwani huko huwa chumvi ni nyingi kutoka kwa watangazaji.
Asante mkuu, Hakika game hii ilikuwa c ya kusikiliza redioni😁,
 
Sarong tumempa nying sana, bora huyu fiston hii game yk ya tatu akiwa na yanga
Kuna baadhi ya game huyo Sarpong anaonyesha ana kitu ila ndo hivyo sijuagi ugumu unakuwaga wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…