Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du! Wenyewe wamekimbia site yao!!! Ama kweli vipigo vinauma!!
Alikuwa kisiki sana RIP Ninja.rest in eternal peace Salum Kabunda Ninja...
leo vipi majibu?
Kama yale Simba aliyopewa na African Lyon.MTM ngoja nikusaidie, yanga wamepewa magoli 4 tu kwa moja na watoto wao, kwa kweli ni magoli machache sana kwa mahusiano waliyonayo lakini si haba zitayasaidia yanga kushika nafasi ya tatu
MTM ngoja nikusaidie, yanga wamepewa magoli 4 tu kwa moja na watoto wao, kwa kweli ni magoli machache sana kwa mahusiano waliyonayo lakini si haba zitayasaidia yanga kushika nafasi ya tatu
pongezi nyingi kwa kiungo(attacking midfilder) papa haruna nyonzima a.k.a fabrigas
simba kapakatwa
hii ni ushindi au jina la pub..