Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Kwa kuwa Africa Lyon hawapendi fujo kwene mpira kwa kuwa yanga wakifungwa huwa wanawapiga marefa ni bora Africa Lyon wasiwafunge maana itakuwa dhahama..................Half Time...... Yanga 1-0 African Lyon Goli limefungwa na Kigi Makassy dakika ya 43