Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Duuh!! Sidhani kama hii ni sababu mtani mana hii kwao ni ajira na ikitokea unanenepa namna hiyo ujue uko mbioni kuikosa mana hamna mtu anaeza sajili mtu ana kilo ambazo hawezi kuzimudu.Nafikiri ni mindset ya kwamba hata ligi ikirudi hakuna wanachopambania.
Otherwise ni kutokuwa professional, "lack of professionalism".
Nilishangaa hadi Makame ana kitambi aisee. 😔😔