Huo ndio ukweli na wanajua mashabiki wengi wa yanga hatuwez kifikiri
Ikifuatilia hili sakata toka siku za mwanzo kabisa yule mnayemuita Eng Hersi alisema kila kitu ashamaliza tusiwe na hofu
Siku zilivyozid kwenda wachezaj wengne wanatambulishwa watu wakaanza kuhoj mbona Djuma Shaban hatambulishwi akajibu kuwa msiwe na waswas
Muda umefka wanaanza kutengeneza drama nyingi na majibu yasyo na uhalisia wowote
Kifup yanga hakuna mchezaj tuliyevunj mkataba kutoka nje tulochofanya n kuvizia wale ambao hawafai na timu zao huko na sisi tumewachukua
Mwaka wa 3 huu wanatoka wachezaj lundo tunaingiza lundo la wachezaj hiv jaman kwa utaratibu huu muunganiko utoke wapi hapo?
Makocha ndio usiseme wantimuliwa kila siku na ajabu wakamleta NABI ambaye kizungu hajui kiswahil hajui na wanajua kabisa weng was wachezaj wetu wanajua kiswahili angalau na kiingereza
Leo Dr mshindo msolwa akitaka kuongea na kocha anahitaj mkaliman na yeye ndio waongee kweli jaman hapo kuna shida mahali kwa yanga
Kuna Mahal nimesoma NCHIMBI anasema hamwelewi kocha huko mazoezn kwasababu ya lugha
Sababu ya kuona lugha n shida wakaona watujazie wachezaj wanaoongea kifaransa kutoka kongo ili kupata wakaliman
SAIDO NTOBANZOKIZA yupo yanga kwsababu ya mpira au ya ukalimani
maana hili nalo linahitaj mjadala mwingine kabisa
GSM yupo yanga kwa interest zake na si kuisaidia yanga kama tunavyoaminishwa
Tunaambiwa mechi za CAFCL hazina mashabiki lakn wao wanachangisha nauli watu waende huko NIGERIA swal la kujiuliza wanaenda kutembea au kufanya nn maana mashabiki hawaruhusiwi huko Kama timing Haina nauli ya kukod ndege so waseme tuchangie
SIUONI MWISHO MZURI WA TIMU YANGU
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app