Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Mtaongea Sana lakn ukweli mchungu

Yanga haitakuja kuwa na muunganiko na wachezaji Kama mfumo wa wenyewe ndio huu was kusajir wachezaji lukuki halafu mwisho wa msimu wanaachwa

Timu ya ushindi n ile inayosajir wachezaj wachache kujaza nafas chache. Au kuleta wachezaj wenye kariba na wale waliopo ili kuleta challenge kwa waliopo wasibweteke

Umewah kuona klabu gani dunian inayosajir wachezaj had 8 kwa msimu huu n upuuzi ambao wanayanga wanashindwa kuelewa

Suala la maandalizi ya timu nalo n kizungumkuti tupu yaan pre season kulikuwa na haja gani ya kuweka kambi Morocco kwa siku 4 tu eti kisa umelipiwa bure hapo ndipo wanayanga ilibid washtuke kuwa muwekezaji hana Nia nzuri na klabu hii

Usajir wa wachezaji Kama Aucho na Djuma umegubikwa kizungumkuti tupu mchezaj wa kwanza kusajiliwa klabuni ndye anakosa ITC na wa mwisho kusajikiwa anapata ITC hapo ilibid watu wahoji wapate majibu ya kina

Nguvu kubwa kuwekezwa kwenye propaganda kuliko.uwanjani mfano uzinduz wa mauzo ya jez kila mtu aliona nguvu iliyotumika unaweza ukadhan kuwa yanga imekamilila kumbe hakuna kitu

Ujio wa HAJJ nao umetumia nguvu kubwa Sana na kuwafanya wengne wajione wanyonge haji hajawah kumaliza Kaz salama kila sehemu anayopita toka NCCR CCM had SIMBA na hapa tutegemee hayo hayo

Mwekezaji amewekeza nguvu kwenye biashara zake kushinda uwanjani yanga n Kama daraja la mafanikio Kama ujuavyo Simba na yanga n Kama dini kila mtu ataziabudu na hata viongoz wetu serikalin n waumin wa SIASA za Simba na yanga hvyo muwekezaji atanufaika tu huko serikalin Kama kupitisha Mambo yake kwa mgongo wa yanga

Mwisho washabiki wa yanga n muda wa kukaa chini na kutafakar juu ya mwenendo wa timu hii vinginevyo mtakosa furaha milele kwa ajili ya wachumia tumbo wachache

Kuna tetesi tamasha la yanga day mapato yote alikusanya GSM na timu hai japata hata senti mwenyekiti yupo Kama rubber stamp hana nguvu Tena



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Akili kubwa kabisa hii. Kweli mtu mwenye nia ya kutengeneza timu anaweza kuuza mchezaji mzuri tena wa kikosi cha kwanza kirahisi rahisi. GSM nadhani wao wapo kibiashara zaidi
 
Djuma, Aucho na Mayele hawatocheza labda ikitokea tukavuka hizi raundi na kuingia makundi ndipo tunaweza tumia zile nafasi ambazo CAF hutoa kwa timu kuongeza wachezji
Bro mbona nilisikia kama majina yao walishayapeleka huko Caf au ndio nilimquote Manara vibaya?

Hivyo zikipatikana muda wowote wanaeza?
 
Bro mbona nilisikia kama majina yao walishayapeleka huko Caf au ndio nilimquote Manara vibaya?

Hivyo zikipatikana muda wowote wanaeza?
Mi ninachojua wanatuchezea Akili tu. Kuna kipindi walisema ITC zimefika nje ya wakati, Mara zitakapofika watazipeleka,hapohapo wanasema hata kama CCL hawatacheza msijali ligi watacheza. Ni kweli majina waliyapeleka CAF ila hayana vibali hivyo mana yake CAF wameshafunga hilo zoezi hadi hapo litapofunguliwa tena!
 
Japo apunguze hasira mana kama ile juzi alipofanyiwa Sub hata maji aliyopewa aligoma kunywa.
Ile timu imekuwa na maandalizi mabovu tu,lakini wakipata muda Wa kukaa pamoja muda mrefu kidogo itakuwa nzuri sana. Ila ikijumuisha na hao wachezaji wasio na vibali siyo wale walocheza juzi pekee![emoji3]
 
Mi ninachojua wanatuchezea Akili tu. Kuna kipindi walisema ITC zimefika nje ya wakati, Mara zitakapofika watazipeleka,hapohapo wanasema hata kama CCL hawatacheza msijali ligi watacheza. Ni kweli majina waliyapeleka CAF ila hayana vibali hivyo mana yake CAF wameshafunga hilo zoezi hadi hapo litapofunguliwa tena!
Duuh! Kumbe ndio mana wakawa wanang'ata ng'ata maneno.
 
Mi ninachojua wanatuchezea Akili tu. Kuna kipindi walisema ITC zimefika nje ya wakati, Mara zitakapofika watazipeleka,hapohapo wanasema hata kama CCL hawatacheza msijali ligi watacheza. Ni kweli majina waliyapeleka CAF ila hayana vibali hivyo mana yake CAF wameshafunga hilo zoezi hadi hapo litapofunguliwa tena!
Huo ndio ukweli na wanajua mashabiki wengi wa yanga hatuwez kifikiri

Ikifuatilia hili sakata toka siku za mwanzo kabisa yule mnayemuita Eng Hersi alisema kila kitu ashamaliza tusiwe na hofu

Siku zilivyozid kwenda wachezaj wengne wanatambulishwa watu wakaanza kuhoj mbona Djuma Shaban hatambulishwi akajibu kuwa msiwe na waswas

Muda umefka wanaanza kutengeneza drama nyingi na majibu yasyo na uhalisia wowote

Kifup yanga hakuna mchezaj tuliyevunj mkataba kutoka nje tulochofanya n kuvizia wale ambao hawafai na timu zao huko na sisi tumewachukua

Mwaka wa 3 huu wanatoka wachezaj lundo tunaingiza lundo la wachezaj hiv jaman kwa utaratibu huu muunganiko utoke wapi hapo?

Makocha ndio usiseme wantimuliwa kila siku na ajabu wakamleta NABI ambaye kizungu hajui kiswahil hajui na wanajua kabisa weng was wachezaj wetu wanajua kiswahili angalau na kiingereza

Leo Dr mshindo msolwa akitaka kuongea na kocha anahitaj mkaliman na yeye ndio waongee kweli jaman hapo kuna shida mahali kwa yanga

Kuna Mahal nimesoma NCHIMBI anasema hamwelewi kocha huko mazoezn kwasababu ya lugha

Sababu ya kuona lugha n shida wakaona watujazie wachezaj wanaoongea kifaransa kutoka kongo ili kupata wakaliman

SAIDO NTOBANZOKIZA yupo yanga kwsababu ya mpira au ya ukalimani
maana hili nalo linahitaj mjadala mwingine kabisa

GSM yupo yanga kwa interest zake na si kuisaidia yanga kama tunavyoaminishwa

Tunaambiwa mechi za CAFCL hazina mashabiki lakn wao wanachangisha nauli watu waende huko NIGERIA swal la kujiuliza wanaenda kutembea au kufanya nn maana mashabiki hawaruhusiwi huko Kama timing Haina nauli ya kukod ndege so waseme tuchangie


SIUONI MWISHO MZURI WA TIMU YANGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona sisi wapole kitambo tu.
Leo mnajiita wapole sio??

Yani siku mkijshtuka Eng Hersi nae tayar ana viwanda kama GSM , [emoji23][emoji23][emoji23]

Hakuna mtu anaepiga pesa Kama huyu kwenye mpira wetu siku hz
 
Huo ndio ukweli na wanajua mashabiki wengi wa yanga hatuwez kifikiri

Ikifuatilia hili sakata toka siku za mwanzo kabisa yule mnayemuita Eng Hersi alisema kila kitu ashamaliza tusiwe na hofu

Siku zilivyozid kwenda wachezaj wengne wanatambulishwa watu wakaanza kuhoj mbona Djuma Shaban hatambulishwi akajibu kuwa msiwe na waswas

Muda umefka wanaanza kutengeneza drama nyingi na majibu yasyo na uhalisia wowote

Kifup yanga hakuna mchezaj tuliyevunj mkataba kutoka nje tulochofanya n kuvizia wale ambao hawafai na timu zao huko na sisi tumewachukua

Mwaka wa 3 huu wanatoka wachezaj lundo tunaingiza lundo la wachezaj hiv jaman kwa utaratibu huu muunganiko utoke wapi hapo?

Makocha ndio usiseme wantimuliwa kila siku na ajabu wakamleta NABI ambaye kizungu hajui kiswahil hajui na wanajua kabisa weng was wachezaj wetu wanajua kiswahili angalau na kiingereza

Leo Dr mshindo msolwa akitaka kuongea na kocha anahitaj mkaliman na yeye ndio waongee kweli jaman hapo kuna shida mahali kwa yanga

Kuna Mahal nimesoma NCHIMBI anasema hamwelewi kocha huko mazoezn kwasababu ya lugha

Sababu ya kuona lugha n shida wakaona watujazie wachezaj wanaoongea kifaransa kutoka kongo ili kupata wakaliman

SAIDO NTOBANZOKIZA yupo yanga kwsababu ya mpira au ya ukalimani
maana hili nalo linahitaj mjadala mwingine kabisa

GSM yupo yanga kwa interest zake na si kuisaidia yanga kama tunavyoaminishwa

Tunaambiwa mechi za CAFCL hazina mashabiki lakn wao wanachangisha nauli watu waende huko NIGERIA swal la kujiuliza wanaenda kutembea au kufanya nn maana mashabiki hawaruhusiwi huko Kama timing Haina nauli ya kukod ndege so waseme tuchangie


SIUONI MWISHO MZURI WA TIMU YANGU

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli kwa kiasi kikubwa ila kuna maeneo nimecheka sana![emoji3]
 
Yapi hayo mkuu hebu yaainishe hapa kwa maslah mapana ya timu yetu mkuu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Si kwamba umekosea Bali nimecheka hapo kwa Nabi kutojua kiswahili wala kiingereza, ulivyouliza majukumu ya Saido, Nchimbi kutomwelewa mwalimu[emoji23] na hapo kwenye kuhamasisha washabiki wakate tiketi ili waende Nigeria ilihali hawatoruhusiwa kuingia uwanjani[emoji3]. Halafu hili la tiketi hata kwenye mechi ya juzi walitaka kutukatisha tiketi za viingilio mana pamoja na kujua hakutokuwa na washabiki bado wakaendelea kutoa tangazo la ukataji Wa tiketi hadi pale watu walipoanza kuhoji sana ndipo wakaachana nalo, sasa sijui huwa wanakusudia nini. Hao wachezaji Naamini watasaidia ila msaada wao hautokuwepo ktk mazingira ulipohitajika hasa, kutokana na usanii Wa viongozi wetu ktk hivyo vibali! Tusubiri msaada wao kwenye ligi kama tulivyoambiwa mana hukawii kumbiwa hata ligi hawatacheza[emoji2]
 
Si kwamba umekosea Bali nimecheka hapo kwa Nabi kutojua kiswahili wala kiingereza, ulivyouliza majukumu ya Saido, Nchimbi kutomwelewa mwalimu[emoji23] na hapo kwenye kuhamasisha washabiki wakate tiketi ili waende Nigeria ilihali hawatoruhusiwa kuingia uwanjani[emoji3]. Halafu hili la tiketi hata kwenye mechi ya juzi walitaka kutukatisha tiketi za viingilio mana pamoja na kujua hakutokuwa na washabiki bado wakaendelea kutoa tangazo la ukataji Wa tiketi hadi pale watu walipoanza kuhoji sana ndipo wakaachana nalo, sasa sijui huwa wanakusudia nini. Hao wachezaji Naamini watasaidia ila msaada wao hautokuwepo ktk mazingira ulipohitajika hasa, kutokana na usanii Wa viongozi wetu ktk hivyo vibali! Tusubiri msaada wao kwenye ligi kama tulivyoambiwa mana hukawii kumbiwa hata ligi hawatacheza[emoji2]
Mkuu kiukwel hii timu naona Kama viongoz wamefika ukomo wa kufikiri mkuu

Sasa unawaambia watu wakate tiketi za ndege halafu tunajua viwanjan hawaruhusiwi mashabiki HUONI KAMA HUU N WIZI KABISA MKUU

Unaambiwa mwenyekiti wa klabu hana nguvu kabisa yupoyupo tu

Msolwa ukimchunguza Sana hata uongeaji wake n Kama ana MTINDIO WA UBONGO VILE hayupo sawa yule jamaa

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mtaongea Sana lakn ukweli mchungu

Yanga haitakuja kuwa na muunganiko na wachezaji Kama mfumo wa wenyewe ndio huu was kusajir wachezaji lukuki halafu mwisho wa msimu wanaachwa

Timu ya ushindi n ile inayosajir wachezaj wachache kujaza nafas chache. Au kuleta wachezaj wenye kariba na wale waliopo ili kuleta challenge kwa waliopo wasibweteke

Umewah kuona klabu gani dunian inayosajir wachezaj had 8 kwa msimu huu n upuuzi ambao wanayanga wanashindwa kuelewa

Suala la maandalizi ya timu nalo n kizungumkuti tupu yaan pre season kulikuwa na haja gani ya kuweka kambi Morocco kwa siku 4 tu eti kisa umelipiwa bure hapo ndipo wanayanga ilibid washtuke kuwa muwekezaji hana Nia nzuri na klabu hii

Usajir wa wachezaji Kama Aucho na Djuma umegubikwa kizungumkuti tupu mchezaj wa kwanza kusajiliwa klabuni ndye anakosa ITC na wa mwisho kusajikiwa anapata ITC hapo ilibid watu wahoji wapate majibu ya kina

Nguvu kubwa kuwekezwa kwenye propaganda kuliko.uwanjani mfano uzinduz wa mauzo ya jez kila mtu aliona nguvu iliyotumika unaweza ukadhan kuwa yanga imekamilila kumbe hakuna kitu

Ujio wa HAJJ nao umetumia nguvu kubwa Sana na kuwafanya wengne wajione wanyonge haji hajawah kumaliza Kaz salama kila sehemu anayopita toka NCCR CCM had SIMBA na hapa tutegemee hayo hayo

Mwekezaji amewekeza nguvu kwenye biashara zake kushinda uwanjani yanga n Kama daraja la mafanikio Kama ujuavyo Simba na yanga n Kama dini kila mtu ataziabudu na hata viongoz wetu serikalin n waumin wa SIASA za Simba na yanga hvyo muwekezaji atanufaika tu huko serikalin Kama kupitisha Mambo yake kwa mgongo wa yanga

Mwisho washabiki wa yanga n muda wa kukaa chini na kutafakar juu ya mwenendo wa timu hii vinginevyo mtakosa furaha milele kwa ajili ya wachumia tumbo wachache

Kuna tetesi tamasha la yanga day mapato yote alikusanya GSM na timu hai japata hata senti mwenyekiti yupo Kama rubber stamp hana nguvu Tena



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wanayanga wasipokuelewa hapa, wataelewa mbinguni
 
Back
Top Bottom