ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Baada ya kumkanda domo domo fc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mwenye kibarghashia sio mangungu kweli?Baada ya kumkanda domo domo fc
View attachment 3130741
Afadhari hata Kengold walijikaza hawa tukitaka kuwapa draw wakajifunga wenyeweHawa makolo ni wake zetu.
Wakati mnafurahia Yanga kufungwa na huu ndio msimamo wa ligi hadi sasaLeo mmelalana pampas Utopolo
Tunachofurahia umejaza chumba L na sasa utajaza Chumba D.Wakati mnafurahia Yanga kufungwa na huu ndio msimamo wa ligi hadi sasaView attachment 3143862
Wakati huo timu lako limejaza nini? Mbumbumbu mna matatizo kweli. Kwenye hesabu za possibility utaona Yanga ana uwezo wa kucheza michezo zaidi ya mitano bila kupata sare au kupoteza ila timu yako ya Simba uwezo huo hawana ndio maana mchezo wa tano tu wamepata sare.Tunachofurahia umejaza chumba L na sasa utajaza Chumba D.
I see it comming
kumbuka baka ataikosa michezo miwili, yao haijulikani atapona lini,dube hafungi,musonda hafundi, mechi inayofuata dhidi ya fountain gate hawa wajuba wanajua kufunga, simba hii ina uwezo wa kushinda mechi 5 hata 6 hata 7 mfululizo. Yanga ina wastani wa kupoteza michezo miwili kwenye mechi 10, so kumi la pili mtapoteza michezo mi2 tena.Wakati huo timu lako limejaza nini? Mbumbumbu mna matatizo kweli. Kwenye hesabu za possibility utaona Yanga ana uwezo wa kucheza michezo zaidi ya mitano bila kupata sare au kupoteza ila timu yako ya Simba uwezo huo hawana ndio maana mchezo wa tano tu wamepata sare.
Kauli yako wanaitumia sasa hivi hawa batasimba bingwa!