denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Siasa za kizee ndio zipi hizo? mkipanda mawe mtavuna mawe tu, hamuwezi kupanda mawe mvune mchicha.Mtu akietaka kuwa rais hawezi kuwa na siasa za kitoto namna ile ndio maana toka jana nasema hana tofauti na mmawia wa hapa jf