Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Ikulu ya sasa hivi Hainan tofauti na wasafi classic ni kiki kwenda mbele utakuta hiyo ni kiki ya kuibukia kwenye uteuzi wa katibu mkuu ccm
 
Tatizo la chadema wao uchaguzi ukiisha kila kitu kinasimama, hawajitambui kabisa na wamesahau kwamba serikali ya awamu ya tano muhula wa pili ndiyo sasa inaundwa ili kuimarisha uongozi wa wizara, mikoa, wilaya na halmashauri, wamesahau kwamba wizara zinahahitaji makatibu wakuu, mikoa inahitaji wakuu wa mikoa, wilayani wakuu wa wilaya na halmashauri wakurugenzi.

Kuipata safi hiyo ndefu unahitaji kwenda retreat sehemu tulivu isiyo na bughudha, ukiwa na timu ya fitna ili kutokumuonea mtu soni. Mwacheni rais apige kazi na subirini uteuzi mpya wa timu ya MUHULA WA PILI WA AWAMU YA TANO. CORONA SIYO ISSUE NI KUCHUKUA TAHADHALI, AMUA KUVAA BARAKO, AU KUJIFUKIZA, AU KULA MLO KAMILI, AU NIMRICAF, COVIDO AU BUPIJI UKIPENDA VYOTE KWA PAMOJA
 
Tatizo la chadema wao uchaguzi ukiisha kila kitu kinasimama, hawajitambui kabisa na wamesahau kwamba serikali ya awamu ya tano muhula wa pili ndiyo sasa inaundwa ili kuimarisha uongozi wa wizara, mikoa, wilaya na halmashauri, wamesahau kwamba wizara zinahahitaji makatibu wakuu, mikoa inahitaji wakuu wa mikoa, wilayani wakuu wa wilaya na halmashauri wakurugenzi.

Kuipata safi hiyo ndefu unahitaji kwenda retreat sehemu tulivu isiyo na bughudha, ukiwa na timu ya fitna ili kutokumuonea mtu soni. Mwacheni rais apige kazi na subirini uteuzi mpya wa timu ya MUHULA WA PILI WA AWAMU YA TANO.

CORONA SIYO ISSUE NI KUCHUKUA TAHADHALI, AMUA KUVAA BARAKO, AU KUJIFUKIZA, AU KULA MLO KAMILI, AU NIMRICAF, COVIDO AU BUPIJI UKIPENDA VYOTE KWA PAMOJA
 
Usimuombee mwenzio mabaya kwa maana sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu hata kama unahasira na mtu msamehe tu maana imeandikwa samehe saba mara sabini kwa maana Mungu wetu ni wa msamaha, nakaribisha kukosolewa kama nimewakwaza maana hata mitume na manabii walisamehe na kusahau
Hakuna anae ombewa
 
HEBU TUTAFAKARI HILI WAKUU

Kama kwel Rais wetu yupo Nairobi anatibiwa basi kuna shida mahali.

Kama mnakumbuka Rais wetu anasema ameboresha huduma za afya hasa hospital ZETU za rufaa kubwa Zaid muhimbili lakin Leo tetes znasema mpendwa wetu yupo nchi jirani je hospital zetu hazina ubora tena au zile zilikuwa propaganda tu kuwa huduma za afya zmeimarika kushinda awamu zote

Mm naona Kuna tatizo mahali nakumbuka enzi hizo mbunge wa singida nadhan n Tundu lisu alishambuliwa kwa risasi na baadh ya wabunge na mawazir walisema atibiwe hapahapa nchini lakn viongoz wake wa chama chake wakimpeleka Kenya akaponea huko

Nadhan watanzania wenzangu Kama kweli mkuu wetu yupo huko Kenya basi tujitafakari na kauli za viongoz wetu kwakwel nachokiona hapa n propaganda za kisiasa

Tuchukue tahadhar jaman maisha yetu n dhamana yetu asitupangie mtu juu ya afya zetu Kama mkuu anaenda huko maana yake huduma za ndani n hovyo usidanganyike na maneno ya wanasiasa
 
Waache mkuu, sisi kazi yetu kila ikifika oktoba ya kila mwaka wa tano ni kuwagonga tu.
 
Umejaa unafiki, tangu lini Lissu akawa mwenzenu?
Mtu akietaka kuwa rais hawezi kuwa na siasa za kitoto namna ile ndio maana toka jana nasema hana tofauti na mmawia wa hapa jf
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom