mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Maneno yako hayafai, hayana adabu wala heshima, yamejaa uongo na sijui ni kwa faida ya nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikimbia mchale ukiinuka mchale.Mchina kachukia Sana kunyimwa tenda ya SGR na stiglers.China ni ndugu zetu wa damu.Vuta nikuvute kule mchina,huku beberu,pale wasoma namba,Kati freemason, kushoto damu za watu,ukimeza moto ukitema moto usiombe kuumwa na jino usiku.Wachina wana kipi cha kumpenda kaharibu uhusiano sana ...hao wakenya wenyewe wana kipi cha kumpenda kaharibu sana uhusiano ndani ya jumuia ..Mungu ampe kuishi ili ajirekebishe ......
Kwani daily nation wanasemajeNever.. Rais wa Tanzania hawezi kwenda kenya kutibiwa.. kwanza tuna facilities za kutosha kwa sasa pili kenya sio salama.
Mkuu Mwenzangu ...madai mazito...Atoke basi hadharani ....kwanini kuacha uvumi .....hawezi kukaa sana mzena ambako alizembea Mkapa akafa , na kina Apson ....dhamira inamsuta
Si mnataka atawale milele, mimi naona sawa tu mkificha-ficha. Afterall yeye ni jiwe "kwerikweri".I co-sign!
Ila nadhani hata yeye anachangia kwenye haya mambo ya ficha ficha.
Jiwe atajuta kumpiga chini Bashite. Sangoma wa Bashite anajibu maombi...Bashite lazima achukue nchi
Bado haijafungwa mitambo ya nyungu, chemba ya maombi na bustani ya malimao...Kwani ile hospital internationl alojenga kule chatle kumbe ni jengo tuu hakuna dawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi tena ? Tunamuomba aonekane akiendelea na majukumu ndani ya wiki hii kama usemacho kinamantikiHuyu Bwana huwa anafanyaga comedy kumake headline anapima upepo,yupo tu anatuchora mara vuup ataibukia kwenye uteuzi au ufunguzi huu mwezi hauishi.
KNH ni ya changanyikeni,hawa wqnaongelea Nairobi Hosp ni ya vigogo.Yaani una maana hospitali kubwa kama KNH inakataa kupokea wagonjwa kwa sababu yupo Magufuli! Yaani huo ni uongo kupita kiasi. Mtamuombea ugonjwa mtaugua nyie, mtamuombea kifo mwishjo mtakufa nyie. Acheni uzushi na chuki!
Natutawasumbua sana maku wewSiasa za majitaka ni zipi?
Ameleta siasa za majitaka gani?
Yeye na wewe nani analeta siasa za majitaka?
Vitoto tangu mkose ajira mnasumbua
Kwa nini umelikomalia? Nimeanza kuwa na wasiwasi na wewe! Lazima uwaamini viongozi wako, ambao wanatuongoza kwa busara wanazojaliwa na Mungu! Kwani umekosa nini?Haijalishwi mara ngapi inazushwa...ni Rais yeye. Mnapima uzito wa jambo linalozushwa...Rais mwenyewe alishawahi kusema aliwahi kuugua akiwa waziri... Trump alipata corona, Boris Johnson aliugua na kulazwa..Rais ni wa nchi siyo wa Ikulu...wangetaka watu wasijue basi waache kutuambia mambo mwingine anayofanyaga....
Kwenye maombi Mimi nitasimama na familia ya Ben saa8Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?...
Mkuu hivi ni fahari Rais wa nchi flani kutibiwa nchi jirani huku akijitapa kuwa kaboresha miundo mbinu ya afya?Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.