Siasa za kizee ndio zipi hizo? mkipanda mawe mtavuna mawe tu, hamuwezi kupanda mawe mvune mchicha.Mtu akietaka kuwa rais hawezi kuwa na siasa za kitoto namna ile ndio maana toka jana nasema hana tofauti na mmawia wa hapa jf
Sasa si atoke tu hata kwenda ferry kuchukua samaki, shida iko wapi? Mbona Mpango walimtoa kwenye drip kuja kufanya press?Waambie hilo gazeti linaloitwa Nation, Lisu na Ngurumo wampige picha huko Nairobi na watume Tanzania na waweke kwenye mitandao yao! Sijui wanakwama wapi kuleta ushahidi wa hayo maneno yao!!
Kwahiyo Lissu pale analipiza kisasi?Siasa za kizee ndio zipi hizo? mkipanda mawe mtavuna mawe tu, hamuwezi kupanda mawe mvune mchicha.
Mwongo wewe! Kwa nini watu hamna shukrani? Mungu ametupa Rais mzuri mpaka makaburu wanatuonea wivu! Ni mchawi tu achukiaye mtu mwema!Amina!
Ila ikumbukwe huyu mtu kwa maamuzi yake na kwa roho yake mbaya amesababusha vifo vya maelfu ya raia either direct or inderect.
Kwenye ujenzi tu labda, kwingine huko kavurunda!Mwongo wewe!! Kwa nini watu hamna shukrani? Mungu ametupa Rais mzuri mpaka makaburu wanatuonea wivu!! Ni mchawi tu achukiaye mtu mwema!
Kuna Ulinzi wa kutisha Nairobi Hospital, kuna mdau wangu kule kaniambia.
Soma gazeti la "Daily Nation" la leo. Utajua kama ni uzushi au la. Acha kujikita kwa magezeti Tanzanite na Uhuru tu.Mkorogo wa Bupeji umedunda mkuu
Aidha mods wanazidelete ama uzushi umegonga mwamba. So kila mtu anafanya shughuli zakeHuu uzi mbona commets zinapungua
Vp watenda dhambi kwa Mungu?Mijizi ya kura ikifa au kuumwa ni raha kwa wapenda haki wote.
Na bado na viungo vingine vyako ataviacha waziMimi hao wengine hawanishangazi maana ndio kazi yao huko mitandaoni ila mtu kama Lisu ndio kaniacha mdomo wazi.
Huku mitaani hata hakuna hizo habari tatizo letu huku mitandaoni na tunafikiri kila kinachofanyika huku basi na mtaani ndio pako hivyo hivyo.Nchi imepigwa ganzi huku tetesi mbaya zikiendelea. Wenye dhamana ya usalama wa mh Rais kwanini mnaacha inafikia huku?
Mambo hayaendi hadi viboko? Tujulisheni hata kama kweli anaumwa tumwombee mpendwa wetu.
Wapi Lissu kampiga mtu risasi?Kwa hiyo Lisu pale analipiza kisasi?