Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Mimi hao wengine hawanishangazi maana ndio kazi yao huko mitandaoni ila mtu kama Lisu ndio kaniacha mdomo wazi.
Hata mimi kanishangaza sana, nimekuwa namuamini sana Lissu, lakini kwa hili la kushadadia habari za umbea!! Nimemuona ni mtu mwepesi sana.

Kwa nafasi yake hakutakiwa kuwa na hoja za kuokoteza kama hizo, alipaswa awe na msingi wa hoja zake anazo simamia na ungekuwa ndio msimamo wake na heshima ingekuwepo, lakini kwa sasa namuona kama mlopokaji tu asie kuwa na hoja,zaidi ya kulalamika na kupinga kila anachofanya mh. Rais wa jamhuri.

Ajifunze kwa mwenzake mh. Balozi dk Slaa, kipindi yupo upinzani, alikuwa na hoja zake na misimamo yake ambayo ilimfanya kila mtu amuone ni president material,maana alikuwa akizungumza kila mtu alitaka kumsikilizaa,lakini sasa hivi Lissu watu wamempuuzia kwasababu ana ongea umbea tu. Upinzani wa tanzania bado una safari ndefu, umetukatisha tamaa sisi wengine tunaopenda sera mbadala zenye kuchochea maendeleo ya nchi yetu.
 
Watanzania timekuwa watu wa ajabu sana kuombeana mabaya nachukia sana kwa nini tuombeana mabaya mh raisi nakuombea kwa mungu akupe afya njema uzidi kuwaumbua Hawa wanaokuombea mabaya.
 
Kuna jamaa yangu yuko Nairobi ananiambia Nairobi Hospital hakuingiliki kabisa. Haijulikani kuna nini ila ulinzi wa pale haijawahi tokea, wagonjwa wanashauriwa kwenda Hospitali zingine.
Haimani Muhimbili, Mloganzila?
 
Lakin vipi ulihuzunika na kukemea walio/wanaotendewa wapinzani wake. Mlipiga makofi bungeni ili zito kabwe auwawe,lissu alipigwa risasi asilimia 80 ya wanaccm walifurahia na sherehe zilianza kufanywa endapo akifa mfurahie.

Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.

Usimlaumu seremela mgomba hauna mbao.
 
Mwanakijiji viongozi wapo Kenya kusuluhisha mzozo wa kidiplomasia juu ya mahindi na vitunguu una lingine kujazia...
 
Ni vibaya mno tena ni dhambi kushabikia binadadamu mwenzako afe. Tuliyaona hayo wakati Tundu Lissu anapigwa risasi. Ikafikia hata watu kusema akirudi nchini safari hii hatutakosea. Hao waliokuwa wanafurahia mateso ya Tundu Lissu ndo leo wanawalaumu wale wanaokuwa na mwelekeo wa kufurahia hii habari inayo-trend! Binadamu si wema.
 
Mzee Mwanakijiji ana hoja ya Msingi Sana.

Kama Rais anaumwa ikitangazwa itakuwa ni bora kwa kuwa hao "wajinga" wanao wajinga wenzao wanaowaamini.

Kuacha uzushi kuhusu Afya ya kiongozi Mkuu wa nchi kuenezwa, si jambo jema hata kidogo!!
Hatupaswi kumsema vibaya rais, ni kumkosea adabu. Pia hatukatazwi kuwa na hofu ikiwa hatujamsikia siku kadhaa ikiwa tulizoea kumsikia na kumwona kila wakati.
 
we naye punguani nenda ubelgiji kwa kaka yako
Lumumba kumejaa vilaza,watu wa mihemuko na matusi.Hao ndio wanapewa ukuu wa wilaya na teuzi nyingine za kiduanzi. Shame on you!
 
Kesho au Ijumaa mtamuona wala msiwe na wasiwasi akielekea sehemu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…