kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Huna point! Jitahidi kuwajibika kwa ajili maisha yako mwenyewe! Usiwabebeshe wengine matatizo yako.Hivi nikisema indirect unaslewa lakini?
Mtu anapokufa kwa kukosa dawa maana yake nini?
Mtu anapokufa kwa pressure baada ya nyumba yake kubomolewa maana yake nini?
Mtu anayejinyonga kwa msongo wa mawazo maana yake nini?
Nashangaa sana.Anaumwaje mkuu? Kwani lile li convoy jammer na mitutu ile imeshindwa kuzuia mashambulizi?
mwanasheria msomi siku hizi ni mtu wa kuokoteza ya vijiweniMimi hao wengine hawanishangazi maana ndio kazi yao huko mitandaoni ila mtu kama Lisu ndio kaniacha mdomo wazi.
MatagaAlyeilaumu chadema ni Nani be specific....
Nyungu za kisasa zipo Muhimbili na Mloganzila, apelekwe akajikite hukoAende Chato akapige nyungu aache kupoteza muda
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Hakuja kanisani kwa sababu viongozi wa kanisa lake wana mitazamo tofauti na yake.Jinsi Rais wetu tunavyo mfahamu huwa haipiti week lazima tungemsikia, so ukimya huu lazima watu wahoji aseee, we upo dunia ipi?
Jumapili hatukuonana naye kanisani St. Peters Jumatatu angekuwa Kigoma kwenye mradi wa kimkakati na kesho ilitakiwa awe Dodoma kupandisha vyeo maafisa wa jeshi.
Now unaposema tetesi zisipewe nafasi wakati uhalisia unaonekana something wrong kuhoji muhimu sana.
[emoji1485] Nashukuru muanzisha mada ameachwa, maana nilikuwa nawaza sana juu ya mada kama hii moderators hawawezi kuiacha salama au kupigwa burn kabisa.
Bunge hili hili ambalo Magufuli alisema hawa wabunge bila yeye wasingepata ubunge kwa kuwa hawakuchaguliwa na wananchi?Bongo Bunge huwa halipewi " Intelligence Briefings"?
Nauliza tu...
Umevuta ugolo?Wewe Kijana jitafakri the media is watching you uwe mwangalifu na kimywa chako kitakuponza.
Utotoni hakucheza mchezo wa Hide and Seek
Hivi wote waliowahi kuugua corona duniani kote walikuwa hawachukui tahadhari? Kwa hiyo waziri mkuu wa uingereza alikuwa hachukui tahadhari?Aisee kuna ukweli ndugu huenda ni mtawala wetu nyungu zimekataa.
Unnamed East African leader admitted to Nairobi hospital
The Independent March 10, 2021 AFRICA, COVID-19 Updates, The News Today Leave a comment
NO MASKS: This is when Uganda’s President Yoweri Museveni visited Tanzania in September. President Magufuli and his team have dismissed the use of masks. PHOTOS PPU
Nairobi, Kenya | THE INDEPENDENT | Kenya’s Daily Nation has today reported that an African leader is admitted at a Nairobi hospital, reportedly struggling to recover from COVID-19.
Nation does not identify the leader, who is said to be on a ventilator, but goes ahead to give details about the laissez-faire attitude Tanzania has taken in handling the COVID-19 pandemic. It also mentions that the leader was last seen in public, launching mega-projects two weeks ago.
Sahv watu wanashabikia vifo aise
Ova
That County’s President and his Finance Minister has also been flown into a Nairobi Hospital one and a half hr ago.Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Ibada ya Maombi nchi nzima itaanza lini?Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?
Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.
Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.
Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.