Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Walishasema kwasasa hawatatumia sana vyombo vya habari kwenye kila kitu wanafanya. Siasa ina njia nyingi
 
Hivi nikisema indirect unaslewa lakini?
Mtu anapokufa kwa kukosa dawa maana yake nini?
Mtu anapokufa kwa pressure baada ya nyumba yake kubomolewa maana yake nini?
Mtu anayejinyonga kwa msongo wa mawazo maana yake nini?
Huna point! Jitahidi kuwajibika kwa ajili maisha yako mwenyewe! Usiwabebeshe wengine matatizo yako.
 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
1615362571550.png
 
Jinsi Rais wetu tunavyo mfahamu huwa haipiti week lazima tungemsikia, so ukimya huu lazima watu wahoji aseee, we upo dunia ipi?

Jumapili hatukuonana naye kanisani St. Peters Jumatatu angekuwa Kigoma kwenye mradi wa kimkakati na kesho ilitakiwa awe Dodoma kupandisha vyeo maafisa wa jeshi.

Now unaposema tetesi zisipewe nafasi wakati uhalisia unaonekana something wrong kuhoji muhimu sana.

[emoji1485] Nashukuru muanzisha mada ameachwa, maana nilikuwa nawaza sana juu ya mada kama hii moderators hawawezi kuiacha salama au kupigwa burn kabisa.
Hakuja kanisani kwa sababu viongozi wa kanisa lake wana mitazamo tofauti na yake.
 
Wanasahau kwamba Rais ni Taasisi na walipa kodi wanawajibu wa kujua hata akienda likizo ili kama likizo zimezidi waweze kuhoji kama wanapata value for money kwa kodi zao.

Yaani ni mtumishi wetu kama vile wewe umeajiri mlinzi au baby sitter alafu hujui alipo (sasa una uhakika upi kama mali zinalindwa)
 
Aisee kuna ukweli ndugu huenda ni mtawala wetu nyungu zimekataa.

Unnamed East African leader admitted to Nairobi hospital​

The Independent March 10, 2021 AFRICA, COVID-19 Updates, The News Today Leave a comment


kAGS-IN-TZ.jpg


NO MASKS: This is when Uganda’s President Yoweri Museveni visited Tanzania in September. President Magufuli and his team have dismissed the use of masks. PHOTOS PPU
Nairobi, Kenya | THE INDEPENDENT | Kenya’s Daily Nation has today reported that an African leader is admitted at a Nairobi hospital, reportedly struggling to recover from COVID-19.
Nation does not identify the leader, who is said to be on a ventilator, but goes ahead to give details about the laissez-faire attitude Tanzania has taken in handling the COVID-19 pandemic. It also mentions that the leader was last seen in public, launching mega-projects two weeks ago.
Hivi wote waliowahi kuugua corona duniani kote walikuwa hawachukui tahadhari? Kwa hiyo waziri mkuu wa uingereza alikuwa hachukui tahadhari?

Trump alipokuwa Rais wa Marekani alikuwa hachukui tahadhari? Makamu wake alikuwa alikuwa hachukui tahadhari? Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!au unadhani wale wote ambao hawajaugua corona wao ndio wataalamu Sana wa kuchukua tahadhari kuliko waziri mkuu wa Uingereza na Trump? Mwacheni Mungu aitwe Mungu! Chanzo cha maarifa ni kumjua Mungu.

Ukweli ni kwamba ulinzi namba moja ni Mungu!! Bila yeye tahadhari zote hazifui dafu!! Sisemi kwamba tahadhari watu wasichukue, lakini nasema Mungu kwanza tahadhari baadaye kama alivyotuasa Rais wetu kuwa Watanzania tumtangulize Mungu.
 
Dah....Yanga bana...mnatisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
That County’s President and his Finance Minister has also been flown into a Nairobi Hospital one and a half hr ago.
 
Yaani inaudhi tumepitia huku kila baada ya miezi kadhaa sijui wapi wanaombea au kumngojea Rais aumwe? Ili kiwe nini?

Kama anaumwa vya kutisha mnasema, kama ni uzushi mnasema na hata kumwonyesha kama alivyofanyiwa Dr. Mpango.

Nililisema hili hata wakati wa zile tetesi nyingine wakati ule. Rais ni mwanadamu, hata kama wakati mwingine anazungumza kama mwenye ufunguo wa mbinguni. Mwisho mtasababisha taharuki isiyo ya lazima na kufanya watu wamposti Mama Samia tena.

Kama anahitaji kuinuliwa katika maombi huu ndio wakati. Kama hakuna jambo serious mnasema hivyo nakerekaga kweli.
Ibada ya Maombi nchi nzima itaanza lini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom