Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
π€£ π€£ π€£ π€£Waliokuwa wanaona Lissu kuuawa ni sawa tu, leo wanawafundisha wenzao kuwa na utu!!
Aisee!!
Aiseee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Barabara za masimango kama vile kajenga kwa hela za mamake, wakati ni kodi zetu. Aende tu kumsalimia Nyerere, barabara tutajenga wenyewe.
Wewe nae acha kujidanya, watu wengi sana wanatumia fecabook, habari wanazipata kama kawaidaSi mara ya kwanza humu mitandaoni kuzushia watu vifo,sasa point yangu ni kwamba huko mitaani watu wanaendelea na shughuli zao hakuna taharuki yeyote wala mawazo ya kwamba et kuna ukimya wa Rais.
Hii ni serious issue yupo
Ni kweli sio vizuri kujibu kila tetesi but remember hi ya mwanakijiji inamuhusu mkuu wa nchi, sio jambo rahisi hilo mkuu
Hii ni ya kujibu, nyingine ziachwe
Itakuwa vyema sana.Atawashangaza watu pale atakapo kuja na teuzi ya katibu Mkuu CCM.
Ni mara ngapi ulishamshauri huyu mgonjwa wakupumua kusamehe wenzake au unataka tumsamehe yeye kwakuwa anaumwa?Usimuombee mwenzio mabaya kwa maana sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu hata kama unahasira na mtu msamehe tu maana imeandikwa samehe saba mara sabini kwa maana Mungu wetu ni wa msamaha, nakaribisha kukosolewa kama nimewakwaza maana hata mitume na manabii walisamehe na kusahau
Kwa huyu wengine tuna ππππ€£π€£π€£π π π π π πSwala la ugonjwa wa mtu lisiwe jambo la kushadadia jamani, this is sad.
Nyie ndo mnalazimisha hofu za covid.anayefanya maajabu Ni mungu,covid hamna loloteApone, ila akirudi aiheshimu COVID si ya kuchezea !! haiogopi kufanya maajabu !!
Anavyopenda camera ukiona kimya lisemwalo lipoHabari yako inaweza kuwa njema ila tunaomba basi mtajwa ajitokeze awakate kidomo-domo. Itatusaidia,tunaweza kuwa tunaelekeza maombi sehemu isiyo sahihi
Umeongea ukweli lakini "pisi kali anaichakata" ndio sijaelewa.Wabongo kwa speculation hamjambo jiwe yuko fit anaendelea na kazi za ujenzi wa taifa rais sio kama kina diamond awe anauza sura kila siku kwenye media nae anahitaji privacy afanye mambo kwa utulivu usikute yuko mahali kuna pisi anaichakata
So Lissu is immortal!Waliokuwa wanaona Lissu kuuawa ni sawa tu, leo wanawafundisha wenzao kuwa na utu!!
Aisee!!