Mjiandae ponea yenu mtangulie R.I.P. Ananda dhada la mauaTundu ni mchanganyikiwaji waachane nae anawapotezea muda tu
Mwigulu Nchemba Madilu katika ubora wako.
Unaweza shikwa na tumbo la kuhara. Duh, aibu kwa Mwigulu jamaniLissu kamwambia wazi kati ya watu wanaotamani mkuu asirudi hai ni pamoja na yeye Mwigulu watch out.
“Najua unashukuru Mungu amepelekwa India akiwa comatose, na unaomba asirudi!”. Lissu. Short and clear.
Hahaha. Akirudi hai akaisoma hii, yelewiiii.Kumbe hata Mwigulu huwa anamteta Raisi wetu mpendwa?ni jambo la kuhuzunisha sana
HakikaNdugu WaTz msisahau kuvaa 😷😷😷😷, keep distance, Kunawa maji tiririka, kutumia senitizer nk.
Corona ipo.
Ni risasi na siyo "lisasi" ×
Hata ukitukana ila ukweli ndio huo.Acha upumbavu wewe!
Watanzania walio wengi kwa takwimu zipi? Mko genge dogo sana la wahuni wachache hapo chadema ndio mnaomchukia.
Atumbue na kutumbua hahaha!Hahaha. Akirudi hai akaisoma hii, yelewiiii.
That's a standard of your own.Mwenzako hata kama unamchukia hutakiwi kuonyesha publicly kuwa una chuki naye na hiyo ndo political maturity standard duniani kote!
Rais yupo salama salimini - alipomteua katibu mkuu kiongozi mpya, ili.bidi wajifungie kusudi amweleze matarajio yake kwake! Wapitie kila jambo linalohusu nchi, bila kuachia kitu. Hii exercise ni ndefu. Baada ya hapo ataanza majukumu yake ya kawaida na mtamuona.Kwani kama ikiwa corona, ndo nini sasa?
Si ni ugonjwa tu.
Ye ndo wa kwanza kuipata?