Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Magufuli akifa sijui Kama tutapata rais Kama huyu.jasiri mwenye msimamo
Ila tatizo lake moja tu kuondoa watumish hewa halafu kushindwa kuweka vijana wasomi kwenye hizo nafasi..halafu msomi mzima unayemwamini MUNGU unaenda kwa babu wa loliondo kupata kikombe?????

Sent using Jamii Forums mobile app
Jifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
 
Jifunzeni kubakiza hakiba ya maneno - sasa comments zako tuziiteje, je, nikumsifia JPM, kumkejeri or both - wa kale walisema kama huna jambo jema la kumsema binadamu mwenzako ni busara ukakaa kimya, kukejeri mtu mgonjwa ni ukosefu wa UTU.
Nan mgonjwa mkuu? Umeniachq kidg
 
20210311_073239.jpg

Majamaa wameuliza alipo rais. Media nje ya nchi zimetumia ukimya huo kuleta taharuki. Nafikiri ungejibu alipo rais haya mengine ni kuleta maswali zaidi. Ni kweli rais sio parish workee,ni kweli sio mtangazaji ila jambo la muhimu yupo wapi.

Kuulizwa rais alipo unakasirika bana
 
The radio silence is not cool at all.

Somebody in the know say something, please.

Mtakaa kimya mpaka lini? Kwani kama mtu anaumwa, huko kuumwa ni jambo la ajabu sana, au? Binadamu gani ambaye huwa haumwi?

Kama mtu amekufa, napo nini cha ajabu? Nani ambaye hatakufa?

Cut this ridiculous nonsense of radio silence. It’s gone on for too long now. And yes, even a single day is one too many!

What’s there to hide that is so bad?

Stop making our country live up to the label of a banana republic.

What will you lose if you tell us what is going on?

A bruised ego? An injured pride? A blown cover of a macho facade?

If he is sick, so be it. We all get sick.

If he is dead, oh well! It is what it is. It’s a guaranteed fate that will befall all of us.

Matter of fact, it [death] is the single greatest equalizer for humankind. It is no respecter of persons.

It’s like he has resolved that his ego is his hill to die on.

I remember I once said that his ego was not his amigo.

This is some weird shit. For days now we’ve been dealing with a maelstrom of confusion about his whereabouts.

And they think that is OK? WTF!!!!

Mr. President sir, listen to me. You are not a superman. You are a mere mortal just like the rest of us.

I don’t know what is going on with you. Maybe you are sick or maybe you are not.

Whatever the case may be, you owe us a word. Unless, you enjoy and are proud of leading a banana republic.

Wherever you are...whatever you are dealing with, my hope is you pull through.

After you pull through, a wee bit of introspection won’t hurt....

Now say something...
Mitano tena.

Na ikiisha tunabadili katiba.

Hapa kazi tu.

Hafi mtu.
 
Nadhani kupitia mtandao wa Instagram, Mwigulu ameandika kumkosoa Lissu juu ya kutoa taarifa za kinachoendelea Nairobi akisema ni upumbavu huku akilmtisha kwa kutumia sheria ya mitandao.

Mwigulu anatetea hoja yake kwa kusema Bwana Mkubwa sio kiongozi wa Kanisa, mtangazaji wa TV au kiongozi wa jogging club kwahiyo hata kama haonekani au hajatokea watu hawapaswi kuelezwa. Binafsi imenishangaza sana.

Mwiguou kaenda mbali kwa kumwambia Lissu jinai haina muda(bila shaka akimanisha wakati wowote Lissu anaweza kushitakiwa hata kama atakaa huko kwa muda mrefu-sijui yeye ndio hana jinai?)

Ndugu Mwigulu,wewe kama kiongozi serikalini, shauriana na wenzako na mfanye uamuzi wa kutoa ufafanuzi wa nini kinaendelea badala ya kumtisha Lissu.

Hivi hamjui likitokea la kutokea Lissu ndio ataonekana mshindi japo hatutafuti mshindi katika hili?

Mmejiuliza mtaweka wapi sura zenu?

Na kama kweli anaumwa na akaa hospitali kwa muda mrefu, bado mtaendelea kukaa kimya?

Mambo kama haya ndio yanafanya watu fulani kule Twitter kuwa maarufu na kutegemewa kama chanzo cha habari.

Nchi zenye utaratibu kama huu sijui zimebaki ngapi katika dunia ya leo ukizingatia nafasi aliyonayo Bwana Mkubwa na huu ukimya.
 
The radio silence is not cool at all.

Somebody in the know say something, please.

Mtakaa kimya mpaka lini? Kwani kama mtu anaumwa, huko kuumwa ni jambo la ajabu sana, au? Binadamu gani ambaye huwa haumwi?

Kama mtu amekufa, napo nini cha ajabu? Nani ambaye hatakufa?

Cut this ridiculous nonsense of radio silence. It’s gone on for too long now. And yes, even a single day is one too many!

What’s there to hide that is so bad?

Stop making our country live up to the label of a banana republic.

What will you lose if you tell us what is going on?

A bruised ego? An injured pride? A blown cover of a macho facade?

If he is sick, so be it. We all get sick.

If he is dead, oh well! It is what it is. It’s a guaranteed fate that will befall all of us.

Matter of fact, it [death] is the single greatest equalizer for humankind. It is no respecter of persons.

It’s like he has resolved that his ego is his hill to die on.

I remember I once said that his ego was not his amigo.

This is some weird shit. For days now we’ve been dealing with a maelstrom of confusion about his whereabouts.

And they think that is OK? WTF!!!!

Mr. President sir, listen to me. You are not a superman. You are a mere mortal just like the rest of us.

I don’t know what is going on with you. Maybe you are sick or maybe you are not.

Whatever the case may be, you owe us a word. Unless, you enjoy and are proud of leading a banana republic.

Wherever you are...whatever you are dealing with, my hope is you pull through.

After you pull through, a wee bit of introspection won’t hurt....

Now say something...
Cabinet ya Meko ni One Man Show. Kila kitu lazima aamue yeye. Wanaogopa kutangaza kuwa anaumwa mpaka yeye mwenyewe awaruhusu.

Atawaruhusu vipi kama hana kauli. Na wana jiuliza kwa mfano ukitangaza kuwa ANAUMWA, halafu akapona, alirudi ofsini imekula kwako.

Walicho na uwezo nacho, ni kutangaza atakapokufa tu
 
Try to be patient! Problem with you Tanzanians you always act like firemen! You act and want things to be handled as if the world is no more.
Everything has got it's discipline and ethics,that's why people of your kind are not in the system!

What I is in this piece of paper is a guideline to follow, not following this is unethical and thats what we are all concerned about, where is he hiding ? we employed Magufuli and we have standards for him staying in the office, it is our right to know the whereabout of his doings, ni mfanyakazi wetu aseme alipo kama yupo poa na anafanya nini huko alipo for the time being
IMG_0442.jpg


Read the above article and it will come to your attention that its standard and we are obligated to know where Mr President is..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom